• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 6:55 PM

STAA WA SPOTI: Malkia wa kipekee katika marathon

NA GEOFFREY ANENE NYOTA Ruth Chepng’etich ni mmoja wa wanariadha ambao Kenya imechagua kupeperusha bendera ya taifa kwenye Riadha za...

Aubameyang abeba Barcelona dhidi ya Real Sociedad ligini

Na MASHIRIKA BAO la tisa la fowadi Pierre-Emerick Aubameyang kutoka na mechi 11 katika kampeni za Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga)...

Man-United waajiri kocha Erik ten Hag kwa mkataba wa miaka mitatu

Na MASHIRIKA MANCHESTER United wamemteua kocha Erik ten Hag wa Ajax kuwa mkufunzi wao mpya. Mholanzi huyo mwenye umri wa miaka 52...

Man-City wapepeta Brighton na kurejea kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliwaruka Liverpool na kurejea tena kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya kufunga...

PSG sasa wanahitaji alama moja kutokana na mechi tano ili kutawazwa wafalme wa Ligue 1

Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain (PSG) walilazimika kusubiri zaidi kabla ya kunyanyua taji la Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) kwa mara ya...

Uchunguzi wa mauaji ya Damaris waanza

Na GEOFFREY ANENE JAMII ya riadha na michezo kwa jumla Jumatano iliendelea kuomboleza kifo cha mwanariadha Damaris Muthee Mutua...

Liverpool yaponda Man-United na kutua kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walipaa hadi kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya kupokeza Manchester United kichapo cha...

Capwell yaendelea kujizolea umaarufu Ligi ya Kanda ya Kati

Na LAWRENCE ONGARO INGAWA ilibuniwa miaka miwili iliyopita, Capwell ni timu ambayo imepiga hatua kubwa hasa kwa kuingia Ligi ya Kanda ya...

Inter Milan wapepeta AC Milan na kufuzu kwa fainali ya Coppa Italia

Na MASHIRIKA INTER Milan walitandika AC Milan 3-0 mnamo Jumanne usiku na kufuzu kwa fainali ya kuwania Kombe la Coppa Italia msimu...

Viongozi wanaofaa wataipa sura mpya AFC Leopards

NA JOHN ASHIHUNDU SIKU zinakaribia kwa mashabiki wa klabu ya AFC Leopards kuchagua viongozi watakaoongoza klabu hiyo kwa miaka...

Bruno Fernandes aponea kwenye ajali ya gari barabarani

Na MASHIRIKA KIUNGO Bruno Fernandes wa Manchester United hakuumia baada ya gari lake kuhusika kwenye ajali ya barabarani akielekea...

Chipu yataka matayarisho ya mapema Barthes Trophy 2023

NA GEOFFREY ANENE BAADA ya kupoteza taji la Kombe la Afrika la raga ya wachezaji 15 kila upande walio chini ya miaka 20, maarufu Barthes...