• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Kilifi Ladies yaanza Ligi ya Kanda kwa kishindo

NA ABDULRAHMAN SHERIFF  Ladies FC walianza mechi ya kwanza kabisa ya Ligi ya Kanda ya Pwani kwa matao ya juu walipokomoa mabingwa wa...

Zetech yazidi kuwika kwenye karate

THIKA. Na LAWRENCE ONGARO MASHINDANO ya Skai Kenya Opens yalifanyika mjini Thika, mwishoni mwa wiki huku matayarisho hayo...

Chui, Blades mabingwa Hoki ya taji la Easter

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Chui A na Blades B kila moja imetawazwa mabingwa kwenye mechi za taji la KHU Easter, katika magongo ya wanaume...

Vihiga Queens inaendeleza rekodi ya kutoshindwa

Na JOHN KIMWERE VIHIGA Queens inaendeleza rekodi ya kutoshindwa pia inazidi kukaa kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Soka la Wanawake...

Red Devils wafufuka Spurs na Arsenal wakila marungu

NA MASHIRIKA KUJIKWAA kwa Tottenham Hotspur na kuteleza zaidi kwa Arsenal katika mechi zao za Jumamosi, kulifufua matumaini ya...

Juventus na Bologna nguvu sawa

Na MASHIRIKA MATUMAINI ya Juventus kufuzu kwa soka ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu ujao wa 2022-23 yalididimizwa na Bologna...

Dortmund yadhalilisha Wolfsburg

Na MASHIRIKA BORUSSIA Dortmund walifunga mabao matano katika kipindi cha kwanza na kuzamisha chombo cha Wolfsburg kwa magoli 6-1 kwenye...

Liverpool yadengua Man-City FA

Na MASHIRIKA LIVERPOOL waliweka hai matumaini ya kujizolea mataji manne kwenye kampeni za msimu huu baada ya kukomoa Manchester City 3-2...

Ronaldo abeba Man-United dhidi ya Norwich City

Na MASHIRIKA CRISTIANO Ronaldo alifunga mabao matatu katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Norwich City kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL)...

Dereva Kimathi atarajia Croatia Rally

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika kitengo cha chipukizi cha mbio za magari 2021 McRae Kimathi na mwelekezi wake Mwangi Kioni...

Trailblazers yapania kutinga fainali za Klabu Bingwa Afrika (CAVB) mwaka ujao

Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanaume ya Trailblazers ndio mwanzo inashiriki mechi za ligi kuu ya voliboli nchini lakini inaonekana inalenga...

Kocha wa Bayern asema anatishiwa maisha baada ya kikosi chake kuaga UEFA

Na MASHIRIKA KOCHA Julian Nagelsmann amesema ametishiwa maisha kupitia mitandao ya kijamii baada ya waajiri wake Bayern Munich kudenguliwa...