Na MASHIRIKA ABIDJAN, Cote d'Ivoire MSHAMBULIAJI hodari, Mbwana Samatta wa Taifa Stars ya Tanzania, amesema timu hiyo imejiandaa...
Na ABDULRAHMAN SHERIFF SERIKALI ya Kaunti ya Taita Taveta imeamua kwa mara ya kwanza kudhamini Mbio za Nyika za kaunti ndogo nne za...
NA MWANGI MUIRURI MWAKILISHI wa kipekee wa Afrika Mashariki katika dimba la Klabu bora barani Afrika (Afcon) 2023 ni Tanzania na timu...
NA CHRIS ADUNGO SADIO Mane, 31, hatimaye amevunja kimya baada ya kula yamini ya ndoa na mkewe Aisha Tamba mwenye umri wa miaka 18. Nyota...
Na GEOFFREY ANENE BEKI wa kupanda na kushuka wa pembeni kushoto Erick 'Marcelo' Otieno amejiunga na klabu ya Rakow Czestochowa kutoka AIK...
NA MASHIRIKA FAINALI za Kombe la Mataifa (Afcon) zitaanza kesho Jumamosi nchini Cote d'Ivoire, huku mataifa 24 yakikabiliana katika...
NA MWANGI MUIRURI GOZI la kutafuta bingwa wa soka katika bara la Afrika (Afcon) litaanza kusakatwa rasmi mnamo Januari 13 hadi Februari...
Na MWANGI MUIRURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua kwa sasa anajivunia kasi ya sekunde 59.8 katika mbio za mita 100 baada ya kujizatiti...
Na JOHN ASHIHUNDU AFISA Mkuu Mtendaji wa Shirika la Extreme Sports, Hussein Mohammed, anahofia usalama wa maisha yake siku chache tu...
Na JOHN ASHIHUNDU MASHINDANO maalum ya soka yaliyodhaminiwa na watu binafsi majuzi katika sehemu mbalimbali kote nchini wakati wa...
NA CHRIS ADUNGO FOWADI mzoefu wa Brazil, Neymar, anatazamiwa kuwa baba mzazi kwa mara ya tatu. Tovuti ya LeoDias nchini Brazil, imefichua...
NA MWANGI MUIRURI MASHABIKI wa klabu ya Manchester United katika maeneo mengi ya Mlima Kenya, wameapa kuunga mkono timu ya Arsenal...