• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 11:39 AM

Samatta asema Taifa Stars ya TZ iko tayari kuizima Morocco

Na MASHIRIKA ABIDJAN, Cote d'Ivoire MSHAMBULIAJI hodari, Mbwana Samatta wa Taifa Stars ya Tanzania, amesema timu hiyo imejiandaa...

Serikali ya Taita Taveta kudhamini mbio za nyika za kaunti ndogo

Na ABDULRAHMAN SHERIFF SERIKALI ya Kaunti ya Taita Taveta imeamua kwa mara ya kwanza kudhamini Mbio za Nyika za kaunti ndogo nne za...

Jinsi Tanzania imejipanga AFCON mara hii kuepuka fedheha ya 2019 iliposhika mkia kundini

NA MWANGI MUIRURI  MWAKILISHI wa kipekee wa Afrika Mashariki katika dimba la Klabu bora barani Afrika (Afcon) 2023 ni Tanzania na timu...

Nyota Sadio Mane avunja kimya baada kukemewa kuoa ‘mtoto’ mbichi

NA CHRIS ADUNGO SADIO Mane, 31, hatimaye amevunja kimya baada ya kula yamini ya ndoa na mkewe Aisha Tamba mwenye umri wa miaka 18. Nyota...

Erick ‘Marcelo’ Otieno apata dili tamu klabuni Rakow Czestochowa

Na GEOFFREY ANENE BEKI wa kupanda na kushuka wa pembeni kushoto Erick 'Marcelo' Otieno amejiunga na klabu ya Rakow Czestochowa kutoka AIK...

Afcon: Wenyeji Cote d’Ivoire kuvaana na Guinea-Bissau

NA MASHIRIKA FAINALI za Kombe la Mataifa (Afcon) zitaanza kesho Jumamosi nchini Cote d'Ivoire, huku mataifa 24 yakikabiliana katika...

Onana wa Manchester United atasaidia Cameroon katika Afcon?

NA MWANGI MUIRURI GOZI la kutafuta bingwa wa soka katika bara la Afrika (Afcon) litaanza kusakatwa rasmi mnamo Januari 13 hadi Februari...

Gachagua akamilisha mbio za mita 100 licha ya kujikwaa

Na MWANGI MUIRURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua kwa sasa anajivunia kasi ya sekunde 59.8 katika mbio za mita 100 baada ya kujizatiti...

Mgombea wa urais FKF ahofia maisha yake ushindani ukitiwa doa

Na JOHN ASHIHUNDU AFISA Mkuu Mtendaji wa Shirika la Extreme Sports, Hussein Mohammed, anahofia usalama wa maisha yake siku chache tu...

Jinsi mashindano ya waheshimiwa yalivyovutia mashabiki kuliko ligi za FKF

Na JOHN ASHIHUNDU MASHINDANO maalum ya soka yaliyodhaminiwa na watu binafsi majuzi katika sehemu mbalimbali kote nchini wakati wa...

Kidume cha mbegu: Neymar atarajia mtoto wa tatu!

NA CHRIS ADUNGO FOWADI mzoefu wa Brazil, Neymar, anatazamiwa kuwa baba mzazi kwa mara ya tatu. Tovuti ya LeoDias nchini Brazil, imefichua...

FA: Mashabiki wa Manchester United kuganda na Arsenal

NA MWANGI MUIRURI MASHABIKI wa klabu ya Manchester United katika maeneo mengi ya Mlima Kenya, wameapa kuunga mkono timu ya Arsenal...