• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Southampton yaendeleza masaibu ya Arsenal

Na MASHIRIKA KOCHA Mikel Arteta amekiri kwamba kudorora kwa fomu ya kikosi chake cha Arsenal “kunazua hofu” baada ya kupokea kichapo...

Brighton yazamisha Spurs

Na MASHIRIKA BAO kutoka kwa Leandro Trossard mwishoni mwa kipindi cha pili liliwezesha Brighton kusajili ushindi wa 1-0 dhidi ya Tottenham...

Fortune yapania kusajili watatu

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Fortune Sacco, Nicodemus Omasete amesema wamepania kusajili wachana nyavu watatu endapo Kamati Huru...

Ushindani mkali kushuhudiwa mechi za KWPL

Na JOHN KIMWERE KIVUMBI kikali kinatazamiwa kushuhudiwa wikendi hii kwenye kampeni za mechi za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka la...

Frankfurt kukutana na West Ham kwenye nusu-fainali ya Europa League baada ya kung’oa Barcelona

Na MASHIRIKA EINTRACHT Frankfurt walikomoa Barcelona 3-2 katika mchuano wa mkondo wa pili wa robo-fainali ya Europa League...

Burnley wamtimua kocha Sean Dyche

Na MASHIRIKA BURNLEY wamemfuta kazi kocha Sean Dyche zikisalia mechi nane pekee kabla ya kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu...

Leicester yapepeta PSV na kuingia 4-bora Europa League

Na MASHIRIKA KIUNGO James Maddison amesema kikosi anachokichezea cha Leicester City kinalenga sasa kuweka historia kwa kunyanyua taji la...

West Ham yacharaza Lyon na kutinga nusu-fainali za soka ya bara Ulaya

Na MASHIRIKA WEST Ham United watamenyana na Eintracht Frankfurt ya Ujerumani katika nusu-fainali ya Europa League msimu huu baada ya...

Kocha Erik Ten Hag wa Ajax kupokezwa na Man-United mkataba wa miaka mitatu

Na MASHIRIKA KOCHA Erik ten Hag wa Ajax nchini Uholanzi ataanza kunoa kikosi cha Manchester United kwa mkataba wa miaka mitatu mwishoni...

Aliyekuwa kapteni wa Colombia, Freddy Rincon, aaga dunia kwenye ajali ya barabarani

Na MASHIRIKA NAHODHA wa zamani wa timu ya taifa ya Colombia, Freddy Rincon, ameaga dunia baada ya kupata majeraha mabaya ya kichwa...

Man-City sasa kuvaana na Real kwenye nusu-fainali ya UEFA

Na MASHIRIKA MANCHESTER City walistahimili ushindani wenye hisia kali kutoka kwa Atletico Madrid kabla ya kung’oa miamba hao wa...

Mjamaica matata Shelly-Ann Fraser-Pryce aingia Kip Keino Classic

Na GEOFFREY ANENE WATIMKAJI matata wa mbio fupi Shelly-Ann Fraser-Pryce na Sha'Carri Richardson ni wanariadha wa hivi punde wa kigeni...