Na MASHIRIKA KOCHA Mikel Arteta amekiri kwamba kudorora kwa fomu ya kikosi chake cha Arsenal “kunazua hofu” baada ya kupokea kichapo...
Na MASHIRIKA BAO kutoka kwa Leandro Trossard mwishoni mwa kipindi cha pili liliwezesha Brighton kusajili ushindi wa 1-0 dhidi ya Tottenham...
Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Fortune Sacco, Nicodemus Omasete amesema wamepania kusajili wachana nyavu watatu endapo Kamati Huru...
Na JOHN KIMWERE KIVUMBI kikali kinatazamiwa kushuhudiwa wikendi hii kwenye kampeni za mechi za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka la...
Na MASHIRIKA EINTRACHT Frankfurt walikomoa Barcelona 3-2 katika mchuano wa mkondo wa pili wa robo-fainali ya Europa League...
Na MASHIRIKA BURNLEY wamemfuta kazi kocha Sean Dyche zikisalia mechi nane pekee kabla ya kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu...
Na MASHIRIKA KIUNGO James Maddison amesema kikosi anachokichezea cha Leicester City kinalenga sasa kuweka historia kwa kunyanyua taji la...
Na MASHIRIKA WEST Ham United watamenyana na Eintracht Frankfurt ya Ujerumani katika nusu-fainali ya Europa League msimu huu baada ya...
Na MASHIRIKA KOCHA Erik ten Hag wa Ajax nchini Uholanzi ataanza kunoa kikosi cha Manchester United kwa mkataba wa miaka mitatu mwishoni...
Na MASHIRIKA NAHODHA wa zamani wa timu ya taifa ya Colombia, Freddy Rincon, ameaga dunia baada ya kupata majeraha mabaya ya kichwa...
Na MASHIRIKA MANCHESTER City walistahimili ushindani wenye hisia kali kutoka kwa Atletico Madrid kabla ya kung’oa miamba hao wa...
Na GEOFFREY ANENE WATIMKAJI matata wa mbio fupi Shelly-Ann Fraser-Pryce na Sha'Carri Richardson ni wanariadha wa hivi punde wa kigeni...