Na LAWRENCE ONGARO TIMU ya Rugby ya Zetech Oaks imeonyesha ubingwa wake na kuibuka washindi katika eneo la kati. Kocha wa timu hiyo...
Na AYUMBA AYODI MATAIFA 10 yamethibitisha kushiriki mashindano ya kiwango cha tatu ya Kenya Open ya ulengaji shabaha kwa kutumia bunduki...
Na MASHIRIKA MANCHESTER City walidumisha pengo la alama moja kati yao na Liverpool kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL)...
Na MASHIRIKA ARSENAL walididimiza matumaini yao ya kukamilisha kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu ndani ya orodha ya...
Na MASHIRIKA CHELSEA waliweka kando maruerue ya kuchapwa 3-1 na Real Madrid katika mkondo wa kwanza wa robo-fainali ya Klabu Bingwa...
Na MASHIRIKA REAL Madrid walifungua mwanya wa alama 12 kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) mnamo Jumamosi usiku...
Na MASHIRIKA NEYMAR na Kylian Mbappe walifunga mabao matatu kila mmoja katika ushindi wa 6-1 uliosajiliwa na Paris Saint-Germain (PSG)...
Na PATRICK KILAVUKA Malindi Progressive inapatikana Alaskan, Kaunti ndogo ya Kilifi. Imekumbatiwa na jamii, japo nguzo ya uhimili...
Na MASHIRIKA BAYERN Munich walihitaji penalti ya dakika za mwisho kutoka kwa Robert Lewandowski ili kuzamisha Augsburg 1-0 katika Ligi Kuu...
Na MASHIRIKA PSV Eindhoven kutoka Uholanzi walilazimishia Leicester City sare tasa katika mkondo wa kwanza wa robo-fainali ya Europa...
Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain (PSG) wamefichua mpango wa kumpokeza mshambuliaji Kylian Mbappe ofa mpya ya Sh23.4 bilioni ili atie...
Na MASHIRIKA KOCHA wa Wolverhampton Wanderers, Bruno Lage, ametaka klabu za Barcelona, Liverpool na Manchester United zinazowania huduma...