• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 7:50 PM

Vishale: Wycliffe, Sakawa wakiri kupata upinzani mkali

Na JOHN KIMWERE WYCLIFFE 'Onetouch' Omariba na Selina Sakawa warusha vishale mahiri nchini kitengo cha wanaume na wanawake mtawalia...

Matokeo mseto yalishuhudiwa ya ligi za Kaunti na Kaunti ndogo

Na PATRICK KILAVUKA  Olympic ilifunza soka FC Talents kwa kuirambisha 4-0 katika mojawapo wa matokeo mseto ya ligi ya Kaunti ya...

Bulls wakunjwa pembe mduara nusu na 360 Media kocha wao akilalamikia safu ya ulinzi

Na PATRICK KILAVUKA Kocha wa Young Bulls Issa Wistone alikariri kwamba safu ya ulinzi ilionesha utepetevu kwa kiasi hali ambayo...

Vishale: Wycliffe, Sakawa wakiri kupata upinzani mkali

Na JOHN KIMWERE WYCLIFFE 'Onetouch' Omariba na Selina Sakawa warusha vishale mahiri nchini kitengo cha wanaume na wanawake mtawalia...

Man City vs Atletico patachimbika UEFA

NA MASHIRIKA BAADA ya kudengua Manchester United kwenye Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu, Atletico Madrid wataendea Manchester City...

Crystal Palace watandika Arsenal katika EPL ugani Selhurst Park

Na MASHIRIKA KOCHA Mikel Arteta amesema ndiye anayestahili kulaumiwa kwa kichapo cha 3-0 ambacho kikosi chake cha Arsenal kilipokezwa na...

Janet ‘Shebesh’ Okello atua Japan kusakata raga ya malipo

NA GEOFFREY ANENE NYOTA Janet ‘Shebesh’ Okello amewasili Japan tayari kuchezea klabu yake mpya ya MIE Pearls. Mchezaji huyo wa...

Presha kwa AC Milan baada ya Bologna kuwalazimishia sare tasa ligini

Na MASHIRIKA AC Milan sasa wana presha ya kuhimili ushindani mkali kutoka kwa Napoli na Inter Milan katika mechi saba zilizosalia msimu...

Kimathi sasa ajiandaa kwa Croatia Rally

NA GEOFFREY ANENE DEREVA McRae Kimathi, 27, anatupia jicho duru ya dunia ya Croatia baada ya kuanza kampeni ya kutetea taji la Mbio za...

BIDCO imepania kumaliza nafasi ya kumi bora-FKF-PL

Na JOHN KIMWERE BIDCO United inalenga kupambana mwanzo mwisho kuhakikisha inaibuka kati ya nafasi kumi bora kwenye Ligi Kuu ya...

Gogo Boys imepania kumaliza kati ya tano bora

Na JOHN KIMWERE GOGO Boys imepania kujituma kiume huku ikilenga kumaliza kati ya nafasi tano bora kwenye kampeni za Ligi ya Taifa Daraja...

Inter wakung’uta Juventus na kuweka hai matumaini ya kuhifadhi taji la Serie A

Na MASHIRIKA INTER Milan waliweka hai matumaini ya kuhifadhi ubingwa wa Ligi Kuu ya Italia (Serie A) msimu huu baada ya kutandika...