• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 7:02 PM

Kimathi sasa ajiandaa kwa Croatia Rally

NA GEOFFREY ANENE DEREVA McRae Kimathi, 27, anatupia jicho duru ya dunia ya Croatia baada ya kuanza kampeni ya kutetea taji la Mbio za...

BIDCO imepania kumaliza nafasi ya kumi bora-FKF-PL

Na JOHN KIMWERE BIDCO United inalenga kupambana mwanzo mwisho kuhakikisha inaibuka kati ya nafasi kumi bora kwenye Ligi Kuu ya...

Gogo Boys imepania kumaliza kati ya tano bora

Na JOHN KIMWERE GOGO Boys imepania kujituma kiume huku ikilenga kumaliza kati ya nafasi tano bora kwenye kampeni za Ligi ya Taifa Daraja...

Inter wakung’uta Juventus na kuweka hai matumaini ya kuhifadhi taji la Serie A

Na MASHIRIKA INTER Milan waliweka hai matumaini ya kuhifadhi ubingwa wa Ligi Kuu ya Italia (Serie A) msimu huu baada ya kutandika...

Mbappe ang’aa PSG ikiponda Lorient ligini

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alifunga mabao mawili na kuchangia matatu mengine katika ushindi wa 5-1 uliosajiliwa na Paris Saint-Germain...

Kocha Louis Van Gaal afichua anaugua saratani ya kibofu

Na MASHIRIKA MKUFUNZI wa zamani wa Manchester United ambaye sasa anadhibiti mikoba ya timu ya taifa ya Uholanzi, Louis van Gaal,...

Tottenham watandika Newcastle United na kuingia nne-bora EPL

Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur walitoka nyuma na kutandika Newcastle United 5-1 katika mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mnamo...

Shikangwa achangia bao Karagumruk ikiendelea kutesa wapinzani Ligi Kuu Uturuki

Na GEOFFREY ANENE JENTRIX Shikangwa alitetemesha nyavu za Adana mara moja huku timu yake ya Fatih Karagumruk ikiandikisha ushindi...

Freiburg wataka Bayern waadhibiwe kwa kuchezesha wanasoka 12 dhidi yao

Na MASHIRIKA BAYERN Munich huenda wakaadhibiwa na Shirikisho la Soka la Ujerumani (DFB) baada ya kuwajibisha wachezaji 12 uwanjani kwa...

Benzema afunga penalti mbili na kuweka rekodi ya ufungaji mabao La Liga

Na MASHIRIKA KARIM Benzema alifunga penalti mbili na akapoteza nyingine katika ushindi wa 2-1 uliosajiliwa na waajiri wake Real Madrid...

Bruno Fernandes atia saini mkataba mpya wa mwaka mmoja kambini mwa Man-United

Na MASHIRIKA KIUNGO Bruno Fernandes, 27, ametia saini mkataba mpya wa mwaka mmoja zaidi kambini mwa Manchester United. Nyota huyo...

Dynamo Kyiv kucheza dhidi ya vikosi vya haiba barani Ulaya ili kuchangisha pesa

Na MASHIRIKA MABINGWA wa Ligi Kuu ya Ukraine, Dynamo Kyiv watacheza mechi za kirafiki dhidi ya Barcelona, Paris Saint-Germain (PSG), AC...