• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 7:05 PM

FA: Mashabiki wa Manchester United kuganda na Arsenal

NA MWANGI MUIRURI MASHABIKI wa klabu ya Manchester United katika maeneo mengi ya Mlima Kenya, wameapa kuunga mkono timu ya Arsenal...

Arsenal yaingia sokoni kusaka beki wa kushoto ‘blanda’ za Zinchenko zikiwafika kooni

NA CECIL ODONGO KOCHA wa Arsenal Mikel Arteta, amesema kuwa lengo lake kuu katika kipindi cha usajili wa wachezaji Januari hii ni kumpata...

Wito wa usawa wa tuzo kwa wanamichezo wa kike, kiume

Na FRIDAH OKACHI WATETEZI wa haki wamelaumu baadhi ya wanasiasa kwa kufadhili mashindano ya michezo katika maeneo mbalimbali yanayoishia...

Jasiri: Mabingwa wa Mombasa Open wajiandaa kwa Mashindano ya Dunia

Na ABDULRAHMAN SHERIFF MASHINDANO ya Makala ya 11 ya Mombasa Open Tong-IL Moo-Do International Championship yaliyomalizika Desemba 2023,...

Rooney wa Man U apeleka ‘nuksi’ ya vichapo Birmingham na kwa hilo amefutwa

NA LABAAN SHABAAN MENEJA wa Birmingham City Wayne Rooney amemwaga unga baada ya kuwa kocha kwa siku 83 tu katika klabu hiyo ya daraja la...

Hii imeenda? Liverpool sasa waanza kunusa ubingwa wa EPL

LONDON, Uingereza HUU ukiwa msimu unaotarajiwa kusajili mabao mengi zaidi katika historia ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Liverpool...

Arteta: Sihitaji kununua mshambulizi Januari hii, Arsenal iko sawa

Na MASHIRIKA KUSUASUA kwa Arsenal katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kunatarajiwa kumzidishia Mikel Arteta presha ya kusajili mvamizi wa...

Arsenal dhidi ya West Ham: Ndovu ashuka mti

NA MWANGI MUIRURI MASHABIKI wa klabu ya Arsenal mjini Murang'a sasa wameonywa na wenzao wa Manchester United na Chelsea wajiandae...

Wachezaji wa Talanta Hela kuelekea Uhispainia

NA TOTO AREGE WACHEZAJI waliochaguliwa kutoka kwa Mashindano ya Soka ya Vijana Chini ya Miaka 19 ya Talanta Hela mapema mwezi huu,...

Pochettino adai Chelsea sasa imeiva kutambisha Carabao

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza KOCHA Mauricio Pochettino amewasifu wachezaji wake kwa kujiamini kabla ya kuibuka na ushindi wa 4-2 dhidi...

Mmiliki wa Murang’a Seal aomba polisi kuzima uvutaji bangi katika uga wao wa St Sebastian

NA MWANGI MUIRURI MMILIKI wa klabu ya Murang’a Seal ambayo hushiriki dimba la ligi kuu nchini Bw Reuben Macharia ameomba serikali...

KWPL kuchukua mapumziko mafupi warembo wapunge unyunyu Krismasi, Mwaka Mpya

NA TOTO AREGE LIGI Kuu ya Wanawake ya Kenya (KWPL) itachukua mapumziko mafupi ya wiki tatu na imepangwa kurejea tena Januari 7, 2024...