• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Fainali ya UEFA msimu huu yahamishwa kutoka Urusi hadi jijini Paris, Ufaransa

Na MASHIRIKA FAINALI ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu sasa itachezewa jijini Paris, Ufaransa baada ya Urusi kupokonywa haki hiyo...

Messi, Ronaldo au Morata kusimamia harusi Dybala, Gabriela

IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO MWANASOKA Paulo Dybala wa Juventus na timu ya taifa ya Argentina anazungumza na Alvaro Morata, Lionel Messi...

NYOTA WA WIKI: Pierre-Emerick Aubameyang

Na GEOFFREY ANENE PIERRE-Emerick Aubameyang ni mmoja wa nyota kambini mwa FC Barcelona. Auba, ambavyo anafahamika kwa jina la utani,...

Refa Lucy Wanjiru aamini kufaulu kunatokana na mtu kupenda kazi yake

NA PATRICK KILAVUKA KUWA na matumaini katika ulitakalo huwa chimbuko la mawazo ya kujiwazia mema na hamu ya kufaulu katika hali yoyote...

Karura Greens yapania kushiriki ngarambe ya CAF katika siku za usoni

NA JOHN KIMWERE KLABU ya Karura Greens FC ni kati ya vikosi vinavyopania kupambana mwanzo mwisho kwenye kampeni za kufukuzia ubingwa wa...

Butterfly yavamia Ruiru Sports

Na JOHN KIMWERE BUTTERFLY maarufu King of Ruiru imenasa huduma za kocha, Anwar Sadaarf aliyekuwa akinoa Ruiru Sports Academy kuiongoza...

Karura Greens inapania kushiriki ngarambe ya CAF miaka ijayo

Na JOHN KIMWERE, NAIROBI KLABU ya Karura Greens FC ni kati ya vikosi vinavyopania kupambana mwanzo mwisho kwenye kampeni za kufukuzia...

Barcelona wadengua Napoli kwenye Europa League

Na MASHIRIKA BARCELONA walitinga hatua ya 16-bora ya Europa League msimu huu baada ya kudengua Napoli kwa jumla ya mabao 5-3. Miamba...

Mwanahabari wa michezo kuzikwa kesho Kakamega

NA JOHN ASHIHUNDU MWANDISHI wa miaka mingi wa habari za michezo, Titus Tavasi Maero atazikwa kesho Ijumaa katika kijiji cha...

Kipa Mendy aweka rekodi

NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA GOLIKIPA wa Chelsea Edouard Mendy, Jumanne usiku aliweka historia kwa kuwa kipa wa kwanza kucheza...

Burnley wazidisha masaibu ya kocha Antonio Conte kambini mwa Spurs

Na MASHIRIKA KOCHA wa Tottenham Hotspur, Antonio Conte, amefichua uwezekano wa kuagana na Tottenham Hotspur baada ya matumaini ya kikosi...

Liverpool waponda Leeds United na kuendeleza presha kwa Man-City kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walipunguza zaidi pengo la alama kati yao na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Manchester City...