Na MASHIRIKA CHIPUKIZI Anthony Elanga, 19, aliweka hai matumaini ya waajiri wake Manchester United kutinga robo-fainali za Klabu Bingwa...
Na MASHIRIKA DUSAN Vlahovic, 22, alifungia Juventus bao la haraka, katika sekunde ya 32 ya kipindi cha kwanza, dhidi ya Villarreal kwenye...
Na AYUMBA AYODI SHIRIKISHO la Judo Afrika (AJU) limehamisha makao yake makuu kutoka Antananarivo, Madagascar hadi Nairobi. Katika...
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Henry ‘Meja’ Atola alitikisa nyavu za Sandvikens mara mbili na kusaidia timu yake ya AIK Solna kutoka 2-2...
Na MASHIRIKA CHELSEA walitia guu moja ndani ya robo-fainali za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) baada ya kutandika Lille 2-0 katika mchuano wa...
Na MASHIRIKA KOCHA Jose Mourinho wa AS Roma amepigwa marufuku ya mechi mbili baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu katika sare ya 2-2...
Na JOHN KIMWERE ALIYEKUWA kocha wa Western Stima, Paul Ogai ni kati ya wakufunzi watatu wanaowania nafasi ya kocha mkuu wa Shabana FC...
Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Gogo Boys, Yussuf Haji amepongeza wenzake kwa kuzoa ushindi wa kwanza wa alama moja Kwenye mechi ya Ligi ya...
Na JOHN KIMWERE Wainaina aliyejiunga na kikosi hicho akitokea Kakamega Homeboyz amedokeza hayo baada ya kutoa asisti ikiwa ni mechi ya...
Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), Chelsea, watakosa maarifa ya fowadi Mason Mount watakapoalika Lille kwa...
Na PATRICK KILAVUKA Uthiru vision walionyesha WYSA United vimulimuli baada ya kupata ushindi wa 9 -1 katika mchuano wa Ligi ya Kanda,...
NA PATRICK KILAVUKA UTHIRU Vision walionyesha WYSA United vimulimuli kwa kuitandika 9-1 katika mchuano wa Ligi ya Kanda, FKF, Nairobi...