• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Man-United walazimishia Atletico Madrid sare katika mkondo wa kwanza wa UEFA

Na MASHIRIKA CHIPUKIZI Anthony Elanga, 19, aliweka hai matumaini ya waajiri wake Manchester United kutinga robo-fainali za Klabu Bingwa...

Juventus na Villarreal nguvu sawa katika soka ya UEFA

Na MASHIRIKA DUSAN Vlahovic, 22, alifungia Juventus bao la haraka, katika sekunde ya 32 ya kipindi cha kwanza, dhidi ya Villarreal kwenye...

Makao makuu ya judo Afrika sasa ni Nairobi

Na AYUMBA AYODI SHIRIKISHO la Judo Afrika (AJU) limehamisha makao yake makuu kutoka Antananarivo, Madagascar hadi Nairobi. Katika...

Meja acheka na nyavu mara mbili kuisaidia AIK kutoka sare na Sandvikens

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Henry ‘Meja’ Atola alitikisa nyavu za Sandvikens mara mbili na kusaidia timu yake ya AIK Solna kutoka 2-2...

Chelsea wakomoa Lille na kutia guu moja ndani ya robo-fainali za UEFA

Na MASHIRIKA CHELSEA walitia guu moja ndani ya robo-fainali za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) baada ya kutandika Lille 2-0 katika mchuano wa...

Mourinho apigwa marufuku na kutozwa faini kwa utovu wa nidhamu

Na MASHIRIKA KOCHA Jose Mourinho wa AS Roma amepigwa marufuku ya mechi mbili baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu katika sare ya 2-2...

Ogai mbioni kuwania wadhifa wa kocha Shabana

Na JOHN KIMWERE ALIYEKUWA kocha wa Western Stima, Paul Ogai ni kati ya wakufunzi watatu wanaowania nafasi ya kocha mkuu wa Shabana FC...

Nahodha amepongeza wenzake kuzoa alama moja

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Gogo Boys, Yussuf Haji amepongeza wenzake kwa kuzoa ushindi wa kwanza wa alama moja Kwenye mechi ya Ligi ya...

Wainaina amepania kusaidia FC Talanta kuibuka 5 bora

Na JOHN KIMWERE Wainaina aliyejiunga na kikosi hicho akitokea Kakamega Homeboyz amedokeza hayo baada ya kutoa asisti ikiwa ni mechi ya...

Chelsea kukosa tegemeo Mount, Hudson-Odoi na Chilwell dhidi ya Lille kwenye UEFA

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), Chelsea, watakosa maarifa ya fowadi Mason Mount watakapoalika Lille kwa...

Uthiru Vision yayumbisha WYSA United kwa kuionyesha vimulimuli

Na PATRICK KILAVUKA Uthiru vision walionyesha WYSA United vimulimuli baada ya kupata ushindi wa 9 -1 katika mchuano wa Ligi ya Kanda,...

Uthiru Vision yayumbisha WYSA United kwa kuitandika 9-1

NA PATRICK KILAVUKA UTHIRU Vision walionyesha WYSA United vimulimuli kwa kuitandika 9-1 katika mchuano wa Ligi ya Kanda, FKF, Nairobi...