• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Ni kufa-kupona Nondies na Impala wakivaana Kenya Cup

Na GEOFFREY ANENE PICHA kamili kuhusu klabu mbili zitakazotemwa kutoka Ligi Kuu ya raga (Kenya Cup) msimu 2021-2022 huenda ikajulikana...

Barcelona na Napoli waambulia sare katika gozi la Europa League

Na MASHIRIKA FERRAN Torres alifunga penalti na kusaidia waajiri wake Barcelona kuambulia sare ya 1-1 dhidi ya Napoli katika mchuano wa...

Rangers wadidimiza matumaini ya Borussia Dortmund kusonga mbele Europa League

Na MASHIRIKA RANGERS waliweka hai matumaini ya kuingia hatua ya 16-bora ya Europa League baada ya kusajili ushindi wa 4-2 dhidi ya...

Liverpool guu moja ndani ya robo-fainali za UEFA baada ya kuzamisha Inter Milan

Na MASHIRIKA LIVERPOOL waliweka hai matumaini ya kuingia robo-fainali za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu baada ya kusajili ushindi...

Bayern na Salzburg nguvu sawa katika mkondo wa kwanza wa UEFA

Na MASHIRIKA MABINGWA mara sita wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) walihitaji bao la dakika za mwisho kutoka kwa fowadi Kingsley Coman ili...

Levante yaduwaza miamba Atletico Madrid ligini

Na MASHIRIKA MATUMAINI ya mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga), Atletico Madrid, kuhifadhi ufalme wa kipute hicho msimu...

Shabiki Isaac Juma azikwa kishujaa Kakamega

Na JOHN ASHIHUNDU Itachukuwa muda mrefu Wakenya kusahau hafla ya kumuaga shabiki shujaa wa kandanda Isaac Juma aliyezikwa wikendi...

Man-City wapepeta Sporting Lisbon bila huruma katika UEFA

Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliweka hai matumaini ya kutinga robo-fainali za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu kirahisi baada ya...

Man-United wakomoa Brighton na kuingia nne-bora EPL

Na MASHIRIKA CRISTIANO Ronaldo alimaliza ukame wa mechi sita bila bao kwa kuongoza waajiri wake Manchester United kuzamisha Brighton 2-0...

Mbappe abeba PSG dhidi ya Real

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Kylian Mbappe wa Paris Saint-Germain (PSG) amesema hajafanya maamuzi yoyote kuhusu mustakabali wake kitaaluma...

Chager aongeza mwanya kileleni EA Safari Classic Rally

Na GEOFFREY ANENE DEREVA Baldev Chager na mwelekezi Drew Sturrock waliendelea kuimarisha uongozi wao kwenye mashindano ya East African...

Chuo cha Zetech chafuzu kushiriki mashindano ya kitaifa ya vyuo vikuu

LAWRENCE ONGARO RUIRU WANAKARATE kumi wa klabu ya chuo cha Zetech mjini Ruiru, wamefuzu kushiriki katika mashindano ya KUSA ya vyuo...