NA MASHIRIKA YAOUNDE, CAMEROON MAJABALI Misri na wenyeji Cameroon watakutana katika nusu-fainali ya kukata na shoka ya Kombe la...
Na MASHIRIKA BARCELONA wamethibitisha kumsajili fowadi Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Arsenal bila ada yoyote. Nyota huyo raia wa...
Na MASHIRIKA SENEGAL walifuzu kwa fainali ya Kombe la Afrika (AFCON) baada ya kukomoa Burkina Faso 3-1 mnamo Jumatano usiku nchini...
Na JOHN KIMWERE KOCHA wa timu ya wanawake ya Harambee Starlets, Alex Alumirah anasubiria mtihani mzito kuteua kikosi cha mwisho...
Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Kibera Girls Soccer, Davis Ikochela amesema wamepania kuendeleza mtindo wa kugawa dozi dhidi ya wapinzani wao...
Na JOHN KIMWERE KOCHA wa timu ya wanawake ya Harambee Starlets, Alex Alumirah ana mtihani mzito kuteua kikosi cha mwisho kitakaocheza na...
Na JOHN KIMWERE KAKAMEGA Homeboyz imetwaa huduma za wachezaji watatu huku Thomas Wainaina akihamia FC Talanta kwa maelewano kutoka pande...
Na GEOFFREY ANENE MSHAMBULIAJI Jentrix Shikangwa Milimu na kipa Lilian Awuor wamezinduliwa rasmi na klabu zao mpya barani...
Na MASHIRIKA KOCHA wa zamani wa Chelsea, Frank Lampard, atahudumu ugani Goodison Park kwa miaka miwili na nusu ijayo baada ya kukubali...
Na LAWRENCE ONGARO WANAKARATE wapatao 12 wa chuo cha Zetech mjini Ruiru, wanajiandaa vilivyo ili kupandishwa gredi ya mishipi...
Na MASHIRIKA SENEGAL walijikatia tiketi ya kuvaana na Burkina Faso kwenye nusu-fainali ya Kombe la Afrika (AFCON) baada ya kupokeza...
Na MASHIRIKA UWANJA wa Olembe jijini Yaounde, Cameroon umeidhinishwa kutumika kuandalia mechi za nusu-fainali na fainali ya Kombe la...