• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 6:55 AM

Leo ni zamu ya Misri, Cameroon kuraruana

NA MASHIRIKA YAOUNDE, CAMEROON MAJABALI Misri na wenyeji Cameroon watakutana katika nusu-fainali ya kukata na shoka ya Kombe la...

Barcelona wathibitisha kumsajili Aubameyang bila ada yoyote

Na MASHIRIKA BARCELONA wamethibitisha kumsajili fowadi Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Arsenal bila ada yoyote. Nyota huyo raia wa...

AFCON: Senegal yazamisha Burkina Faso na kuingia fainali

Na MASHIRIKA SENEGAL walifuzu kwa fainali ya Kombe la Afrika (AFCON) baada ya kukomoa Burkina Faso 3-1 mnamo Jumatano usiku nchini...

Kocha Harambee Starlets kibarua kuteua timu ya mwisho

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa timu ya wanawake ya Harambee Starlets, Alex Alumirah anasubiria mtihani mzito kuteua kikosi cha mwisho...

Kibera Girls kifua mbele ligi ya taifa daraja la kwanza

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Kibera Girls Soccer, Davis Ikochela amesema wamepania kuendeleza mtindo wa kugawa dozi dhidi ya wapinzani wao...

Kocha wa Harambee Starlets ana kibarua kuteua timu ya mwisho

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa timu ya wanawake ya Harambee Starlets, Alex Alumirah ana mtihani mzito kuteua kikosi cha mwisho kitakaocheza na...

Kakamega yanasa 3, yataka moja ikafunge

Na JOHN KIMWERE KAKAMEGA Homeboyz imetwaa huduma za wachezaji watatu huku Thomas Wainaina akihamia FC Talanta kwa maelewano kutoka pande...

Nyota Shikangwa na Awuor watambulishwa rasmi Uturuki, Ufaransa

Na GEOFFREY ANENE MSHAMBULIAJI Jentrix Shikangwa Milimu na kipa Lilian Awuor wamezinduliwa rasmi na klabu zao mpya barani...

Everton wateua Frank Lampard kuwa kocha wao mpya

Na MASHIRIKA KOCHA wa zamani wa Chelsea, Frank Lampard, atahudumu ugani Goodison Park kwa miaka miwili na nusu ijayo baada ya kukubali...

Wanakarate wa Zetech kupandishwa gredi

Na LAWRENCE ONGARO WANAKARATE wapatao 12 wa chuo cha Zetech mjini Ruiru, wanajiandaa vilivyo ili kupandishwa gredi ya mishipi...

AFCON: Senegal kuvaana na Burkina Faso kwenye nusu-fainali baada ya kudengua Equatorial Guinea

Na MASHIRIKA SENEGAL walijikatia tiketi ya kuvaana na Burkina Faso kwenye nusu-fainali ya Kombe la Afrika (AFCON) baada ya kupokeza...

AFCON: Uga wa Olembe waidhinishwa kutumika kwa ajili ya mechi za nusu-fainali na fainali

Na MASHIRIKA UWANJA wa Olembe jijini Yaounde, Cameroon umeidhinishwa kutumika kuandalia mechi za nusu-fainali na fainali ya Kombe la...