Na BERNARD ROTICH NYOTA Daniel Simiu na Norah Jeruto walinyakua mataji ya vitengo vya watu wazima vya kilomita 10 vya mbio za nyika za...
Na JOHN KIMWERE KAMPENI za kuwania taji la Ligi Kuu ya Soka la Wanawake zinaendelea kuchacha huku Vihiga Queens ikizidi kukaa kileleni...
Na MASHIRIKA NYOTA Mohamed Salah alifunga bao na kuchangia jingine katika ushindi wa 2-1 uliosajiliwa na Misri dhidi ya Morocco katika...
Na GEOFFREY ANENE KADI wa zamani Cyprian Bundi, ambaye ni mwanagofu kutoka Nanyuki, alitawala nyumbani katika raundi ya kwanza ya...
Na JOHN KIMWERE TIMU ya Sam West Black Boots FC ni kati ya vikosi vinavyopania kupambana mwanzo mwisho kuhakikisha vimetwaa ubingwa wa...
Na JOHN KIMWERE TIMU ya Isiolo Young Stars ni kati ya vikosi vinavyopania kutawala katika soka ya eneo hilo miaka ijayo. Aidha baada ya...
Na MASHIRIKA KARL Toko Ekambi alifunga mabao mawili katika kipindi cha pili na kusaidia wenyeji Cameroon kufuzu kwa nusu-fainali za...
Na CHRIS ADUNGO TINEJA Dango Ouattara alifunga bao la pekee lililowapa Burkina Faso ushindi wa 1-0 dhidi ya Tunisia kabla ya kufurushwa...
Na GEOFFREY ANENE KENYA imetiwa katika orodha ya mataifa 14 yatakayowania tiketi moja ya kushiriki Kombe la Dunia la raga ya wachezaji...
Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Leads United, Winston Issa amesema kuwa wamepania kupambana mwanzo mwisho kuhakikisha wametwaa taji la Koth...
Na MASHIRIKA BARCELONA wamemsajili fowadi Adama Traore kutoka Wolves kwa mkopo hadi mwishoni mwa msimu huu wa 2021-22. Miamba hao wa...
Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Leads United, Winston Issa amesema kuwa wamepania kupambana mwanzo mwisho kuhakikisha wametwaa taji la Koth...