• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 5:50 PM

Simiu na Jeruto moto wa kuotea mbali mbio za nyika za Discovery Kenya

Na BERNARD ROTICH NYOTA Daniel Simiu na Norah Jeruto walinyakua mataji ya vitengo vya watu wazima vya kilomita 10 vya mbio za nyika za...

Kocha Vihiga Queens asema hakuna kulaza damu Ligi Kuu

Na JOHN KIMWERE KAMPENI za kuwania taji la Ligi Kuu ya Soka la Wanawake zinaendelea kuchacha huku Vihiga Queens ikizidi kukaa kileleni...

AFCON: Misri wazamisha Morocco na kuingia nusu-fainali itakayowakutanisha na wenyeji Cameroon

Na MASHIRIKA NYOTA Mohamed Salah alifunga bao na kuchangia jingine katika ushindi wa 2-1 uliosajiliwa na Misri dhidi ya Morocco katika...

Bundi, Wanjiru watawala Safaricom Golf Tour Nanyuki

Na GEOFFREY ANENE KADI wa zamani Cyprian Bundi, ambaye ni mwanagofu kutoka Nanyuki, alitawala nyumbani katika raundi ya kwanza ya...

Samwest Black Boots yajipatia miaka minne kutinga ligi kuu

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Sam West Black Boots FC ni kati ya vikosi vinavyopania kupambana mwanzo mwisho kuhakikisha vimetwaa ubingwa wa...

Isiolo Young Stars yapania kulea wengi kuchezea timu za Ligi za hadhi ya juu

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Isiolo Young Stars ni kati ya vikosi vinavyopania kutawala katika soka ya eneo hilo miaka ijayo. Aidha baada ya...

Cameroon wakomoa Gambia na kuingia nusu-fainali ya AFCON

Na MASHIRIKA KARL Toko Ekambi alifunga mabao mawili katika kipindi cha pili na kusaidia wenyeji Cameroon kufuzu kwa nusu-fainali za...

AFCON: Burkina Faso wang’oa Tunisia kwenye robo-fainali

Na CHRIS ADUNGO TINEJA Dango Ouattara alifunga bao la pekee lililowapa Burkina Faso ushindi wa 1-0 dhidi ya Tunisia kabla ya kufurushwa...

Shujaa yahafamu wapinzani wake wa Kombe la Afrika

Na GEOFFREY ANENE KENYA imetiwa katika orodha ya mataifa 14 yatakayowania tiketi moja ya kushiriki Kombe la Dunia la raga ya wachezaji...

Leads United roho juu ikivizia taji la Koth Biro

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Leads United, Winston Issa amesema kuwa wamepania kupambana mwanzo mwisho kuhakikisha wametwaa taji la Koth...

Barcelona wajinasia huduma za Adama Traore kutoka Wolves

Na MASHIRIKA BARCELONA wamemsajili fowadi Adama Traore kutoka Wolves kwa mkopo hadi mwishoni mwa msimu huu wa 2021-22. Miamba hao wa...

Leads United yataka taji la Koth Biro

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Leads United, Winston Issa amesema kuwa wamepania kupambana mwanzo mwisho kuhakikisha wametwaa taji la Koth...