• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 6:55 AM

Selina wa vishale anatamba kote nchini

NA JOHN KIMWERE KWA wengi, vishale ni mchezo wa starehe za pombe kilabuni. Huchukuliwa kuwa wa wanaume kupitisha muda wakijipa dozi...

STAA WA SPOTI: Spidi yake kali ilimtoa katika voliboli na raga

NA GEOFFREY ANENE KABLA ya 2021, Ferdinand Omanyala hakuwa anajulikana kitaifa. Hata hivyo, Omanyala sasa ni jina kubwa sio tu hapa...

Ronaldo atuzwa Dubai kwa ubabe wake katika ufungaji wa mabao

Na MASHIRIKA CRISTIANO Ronaldo alituzwa taji la mfungaji bora wa muda wote duniani almaarufu Globe Soccer's Top Scorer of All Time mnamo...

Tundo na Chager nje ya Kajiado Rally, macho kwa Karan Patel

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika na Kenya 2021 Carl ‘Flash’ Tundo na mshindi wa zamani wa kitaifa Baldev ‘Boldy’ Chager ni...

Beki Calum Chambers aondoka Arsenal na kutua Aston Villa

Na MASHIRIKA ASTON Villa wamemsajili beki Calum Chambers kutoka Arsenal kwa mkataba wa miaka mitatu na nusu. Nyota huyo mwenye umri...

Kocha wa DCI anapongeza vipusa wake kwa kujituma mazoezini

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa timu ya voliboli ya wanawake ya Maafisa wa Uchunguzi wa Jinai (DCI), Daniel Bor anasema wachezaji wake wanazidi...

KCB, Posta Rangers zatafuta huduma za winga wa Mathare John Mwangi

Na JOHN KIMWERE KLABU ya Mathare United huenda itakosa huduma za winga wake John Mwangi anayeripotiwa kuwindwa na timu mbili, KCB na...

Raila, mashabiki walaani mauaji ya kipenzi Juma

JOHN ASHIHUNDU na SHABAN MAKOKHA MASHABIKI na wapenzi wa soka nchini waliendelea kulaani vikali mauaji ya shabiki sugu Isaac Juma, 55,...

Jepkorir, Mateiko kuwa kivutio mbio za nyika za Discovery Kenya wikendi

BERNARD ROTICH na GEOFFREY ANENE NYOTA Brilliant Jepkorir amethibitisha kutimka katika makala ya 31 ya mbio za nyika za Discovery Kenya...

Kibarua sugu chasubiri Shujaa ikielekea mawindoni Seville 7s

NA GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga Shujaa iko tayari kupigania matokeo mazuri kwenye duru ya nne ya Raga za Dunia mjini Seville,...

Balotelli atafaulu kuchezea Italia tena?

NA MASHIRIKA TURIN, ITALIA MARIO Balotelli huenda atafahamu hivi karibuni ikiwa atapewa namba na kocha Roberto Mancini katika mechi...

Githua: Gaspo tunahitaji taji la ligi kuu msimu huu

Na JOHN KIMWERE MENEJA wa Gaspo Women, Edward Githua amesema wamepania kujituma kiume angalau wahakikishe wameshinda mechi tano...