• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 6:55 AM

Safari Rally kuendelea kuwa katika ratiba ya dunia hadi mwaka 2026

Na GEOFFREY ANENE KENYA imesaini makubaliano na Mbio za Magari Duniani (WRC) duru ya Safari Rally kuendelea kuwa katika ratiba ya dunia...

Ikochela: Kibera Girls yapania kurejea ligi kuu

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Kibera Girls Soccer, Davis Ikochela amesema kuwa wamepania kupambana mwanzo mwisho kwenye mechi za Kundi A Ligi...

Alumirah kocha mpya timu ya wanawake ya Harambee Starlets

Na JOHN KIMWERE KOCHA mpya wa Harambee Starlets, Alex Alumirah amedokeza kuwa atatia bidii kuhakikisha timu hiyo ya kina dada imefuzu...

Borrusia FC yajitoma nusu fainali za Koth Biro

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Borrusia FC ilijikatia tiketi ya nusu fainali ya Koth Biro ilipodunga Wenyeji Youth mabao 2-1 kwenye robo...

Obiri atupia jicho mbio za mita 5000 baada ya kutamba Northern Ireland

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Mbio za Nyika za Dunia 2019 Hellen Obiri ametupia jicho mbio za uwanjani baada ya kuibuka mshindi wa mbio za...

AFCON: Wanane waaga dunia baada ya mkanyagano wa mashabiki kabla ya Cameroon kuvaana na Comoros

Na MASHIRIKA WATU wanane wameripotiwa kuaga dunia na wengi kuumia baada ya mashabiki kusukumana na kukanyagana nje ya uwanja wa Paul...

Kocha Alumirah aahidi kuiongoza Harambee Starlets kufuzu fainali za AWCON

Na JOHN KIMWERE KOCHA mpya wa Harambee Starlets, Alex Alumirah amedokeza kuwa atatia bidii kuhakikisha timu hiyo ya kina dada imefuzu...

Borrusia FC yajitoma katika nusu-fainali za Koth Biro

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Borrusia FC ilijikatia tiketi ya nusu fainali ya Koth Biro ilipodunga Wenyeji Youth mabao 2-1 kwenye robo...

Watford wamtimua kocha Claudio Ranieri

Na MASHIRIKA WATFORD wamemfuta kazi kocha Claudio Ranieri baada ya kusimamia mechi 14 pekee. Ranieri ambaye ni raia wa Italia mwenye umri...

AFCON: Cameroon kukutana na Gambia kwenye robo-fainali baada ya kung’oa Comoros

Na MASHIRIKA WENYEJI Cameroon sasa watakutana na Gambia katika robo-fainali ya Kombe la Afrika (AFCON) baada ya kuwapokeza Comoros...

Oliech kuwa mgeni wa heshima Bukhungu tuzo za SOYA

Na GEOFFREY ANENE MBIVU na mbichi kuhusu nani alifanya vyema kustahili kutuzwa mwanamichezo bora nchini Kenya mwaka 2021 itajulikana...

Vihiga Queens kileleni licha ya sare

Na JOHN KIMWERE VIHIGA Queens ingali kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Soka la Wanawake licha ya kutoka sare tasa na Gaspo Women ugani...