• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 6:50 AM

Shabiki sugu wa Gor na Arsenal ashinda Sh27 milioni za SportPesa

Na CECIL ODONGO Mwanaume mwenye umri wa miaka 32 shabiki wa Gor Mahia na Arsenal ambaye yupo kwenye biashara ya kuuza vipuri na vyuma...

Uhispania Marathon: Cheptegei wa Uganda anyemelea rekodi ya dunia ya kilomita 42 ya Kiptum, ataweza?

NA GEOFFREY ANENE MAKALA ya 43 ya Valencia Marathon yanatarajiwa kusisimua mashabiki baada ya tetesi kuwa rekodi mpya dunia ya Mkenya...

Michael Olunga, Almoez Ali na Philippe Coutinho tegemeo kuokoa Al Duhail

NA GEOFFREY ANENE MKENYA Michael Olunga, Almoez Ali (Qatar) na Philippe Coutinho (Brazil) Jumanne, Novemba 28, 2023 watategemewa na...

Kipute cha vipusa wa soka Kenya dhidi ya Botswana kufuzu kombe la WAFCON 2024

NA TOTO AREGE TIMU ya taifa ya soka ya wanawake ya Botswana, ilitarajiwa kufanya mazoezi yake ya kwanza hapa nchini Jumatatu, Novemba...

Tanzania na Zanzibar zaanza Cecafa kwa ushindi

NA JOHN ASHIHUNDU TANZANIA na Zanzibar zilianza mashindano ya Cecafa Under-18 kwa ushindi baada ya kila moja kuondoka na ushindi wa 1-0...

Vijana wa Kenya waangushia Sudan kipigo kikali katika Cecafa U-18

NA JOHN ASHIHUNDU Timu ya taifa ya vijana wasiozidi umri wa mika 18 maarufu kama Kenya Junior Stars ilianza vyema mashindano ya Cecafa...

Mbunge wa Ghana aliyedhihaki Maguire akimlaumu kuwa gumegume aomba msamaha

NA CHRIS ADUNGO MWANASIASA wa Ghana aliyemdhihaki Harry Maguire ameomuomba msamaha nyota huyo wa Manchester United na timu ya taifa ya...

Omanyala anasa dili ya mchuzi mzito akijiandaa kufungua msimu mpya

AYUMBA AYODI na GEOFFREY ANENE Bingwa wa Jumuiya ya Madola na Afrika mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala atafungua msimu kwa kutimka...

Risala za rambi rambi zamiminika kufuatia kifo cha Harry Kane wa Kenya, nyota wa Nation FC

NA JOHN ASHIHUNDU Risala za rambi rambi ziliendelea kumiminika kwenye meza ya Michezo ya Taifa Leo kufuatia kifo cha ghafla cha...

Olunga kupigania tuzo na masupastaa Ronaldo, Benzema ukanda wa Middle East

Na GEOFFREY ANENE Nahodha wa Harambee Stars Michael Olunga atawania tuzo ya mchezaji bora wa Mashariki ya Kati dhidi ya supastaa...

Machozi kwa Senegal, Ghana na Cameroon katika vita vya kufuzu Kombe la Dunia

NA MASHIRIKA CORONI, NGAZIJA: Ghana, Cameroon, Senegal, Afrika Kusini na Zambia wamejaa kiwewe kuhusu safari ya kufuzu kushiriki Kombe...

Kenya kumenyana na Sudan dimba la Cecafa U-18 liking’oa nanga

NA JOHN ASHIHUNDU Mashindano ya kimataifa ya soka kuwania ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati kwa timu za wachezaji wasiozidi umri wa...