• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 11:54 PM

Pasta atuzwa runinga na LG/SJAK kwa ushabiki wakati wa Iten Marathon

Na GEOFFREY ANENE Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini Kenya (SJAK) jana kilivunja desturi yake ya miaka nane ya kutuza...

Kocha Firat asema Harambee Stars imeiva sasa huku Omala akifurahi kupata bao

Na CECIL ODONGO Mshambuliaji wa Harambee Stars Benson Omala amesema kuwa analenga kuyafunga mabao mengi zaidi baada ya kung'aa kwenye...

Harambee Stars yalenga kujinyanyua leo dhidi ya Ushelisheli

Na CECIL ODONGO KATIKA historia yake, Kenya imeshinda mechi mbili pekee za kufuzu kwa Kombe la Dunia ugenini. Mara ya mwisho hilo...

Harambee kuzikosa Sh2.5 milioni za Ababu baada ya kutandikwa na Gabon

Na CECIL ODONGO Harambee Stars mnamo Alhamisi Novemba 16, 2023 ilichapwa 2-1 kwenye mechi ya kwanza ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 na...

Bingwa wa riadha za wakongwe Sikuku atangaza kuvizia rekodi ya Afrika

Na GEOFFREY ANENE Bingwa wa mataji mawili ya dunia ya riadha za wakongwe za ukumbini Eric Sikuku ametangaza kuvizia rekodi ya Afrika ya...

Kenya kuvaana na Gabon mechi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026

Na CECIL ODONGO TIMU ya Taifa Harambee Stars kesho Alhamisi itakuwa na mtihani mgumu itakapokabiliana na Gabon kwenye mechi ya kufuzu...

Mshtakiwa wa mauaji ya mwanariadha aachiliwa kwa dhamana

NA TITUS OMINDE BAADA ya miaka miwili ya kupigania kuachiliwa kwake kwa dhamana, Mahakama Kuu ya Eldoret mnamo Jumatano ilimwachilia...

Cameroon wawasili nchini kwa mechi ya marudiano dhidi ya Rising Starlets

NA TOTO AREGE TIMU ya wanawake ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 20 ya Indomitable Lionesses ya Cameroon imetua jijini Nairobi kwa...

Mwendwa asifu programu ya FIFA na CAF kuwapa makocha mafunzo muhimu

NA TOTO AREGE MAFUNZO ya ukocha ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) yalianza Jumatatu katika hoteli...

Cameroon yaizidi Kenya maarifa katika mechi ya kufuzu Kombe la Dunia U-20

NA TOTO AREGE NDOTO ya timu ya taifa ya wanawake ya Rising Starlets ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 20 kufuzu kwa Kombe la Dunia...

Kenya Lionesses wararua Uganda Lady Cranes na kutetea taji la Elgon Cup

Na GEOFFREY ANENE KENYA Lionesses wamerarua Uganda Lady Cranes kwa pointi 87-3 katika fainali ya Kombe la Elgon ugani Jomo Kenyatta jijini...

Gor Mahia wazindua basi jipya la kisasa

Na CECIL ODONGO WAKATI ambapo Waziri wa Teknolojia na Mawasiliano Eliud Owalo alisema mradi wake unaofuata sasa ni kujenga uwanja wa...