• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 8:57 PM

Simbas, Lionesses kwenye mizani ya timu za Uganda katika fainali za Elgon Cup

Na GEOFFREY ANENE KENYA Simbas na Kenya Lionesses wataweka mataji yao ya mashindano ya raga ya wachezaji 15 kila upande ya Elgon Cup...

Mashindano ya kuogelea ya kaunti ya Kiambu yapigwa jeki na serikali ya kaunti kwa Sh55,000

Na GEOFFREY ANENE CHAMA cha Uogeleaji cha kaunti ya Kiambu (KCAA) kimepata motisha ya Sh55,000 kabla ya mashindano baina ya kaunti...

Tambua kwa nini demu shabiki sugu wa Messi ‘Miss BumBum’ amepachikwa jina jipya

NA CHRIS ADUNGO KIPUSA Suzy Cortez ambaye ni shabiki sugu wa nyota Lionel Messi, amejipagazwa jina jipya la utani baada ya kufanyia mwili...

Kiptoo, Jepchirchir waendea mataji ya Athens Marathon nchini Ugiriki

NA GEOFFREY ANENE WAKENYA Edwin Kiprop Kiptoo na Caroline Jepchirchir wako katika orodha ya watimkaji wanaopigiwa upatu kutawala mbio za...

Rising Starlets wafanya mazoezi ya mwisho tayari kumenyana na wenyeji Cameroon

NA TOTO AREGE TIMU ya Kenya ya wanawake ya soka ya Rising Starlets, itakabiliana na wenyeji Indomitable Lionesses ya Cameroon katika mechi...

Kiptum alenga kukamilisha Rotterdam Marathon kwa muda chini ya saa mbili

Na AYUMBA AYODI MSHIKILIZI wa rekodi ya dunia mbio za kilomita 42 ya wanaume, Kelvin Kiptum atajaribu kukamilisha umbali huo chini ya...

Rising Starlets waendelea kujifua dhidi ya Cameroon kuwinda tiketi ya Kombe la Dunia U-20

NA TOTO AREGE TIMU ya taifa ya soka ya Kenya ya wanawake wasiozidi umri wa miaka 20, Rising Starlets, inaingia siku ya sita sasa kambini,...

Hatimaye Chelsea yagutuka EPL na kuinyanyasa Tottenham

LONDON, Uingereza Baada ya kusuasua kwa muda mrefu, hatimaye klabu ya Chelsea imerejea kwa makali ya kutisha kwenye Ligi Kuu ya Uingereza...

Mashabiki wa Shabana waweka historia kwa kujaza uwanja wa Mbaraki licha ya kukomolewa

NA ABDULRAHMAN SHERIFF MASHABIKI wa soka wa Shabana FC waliweka rekodi mpya ya kuujaza uwanja wa Mbaraki Sports Club wakati wa mechi yao...

Mark Zuckerberg auguza jeraha la goti akijiandaa kushiriki shindano la karate

NA FRIDAH OKACHI MWANZILISHI wa Facebook mtandao wa kijamii ambao kwa sasa unafahamika Meta, Mark Zuckerberg alifanyiwa upasuaji wa goti...

Kocha Ten Hag apumua baada ya Manchester United kutandika Fulham katika EPL

Na MASHIRIKA NAHODHA Bruno Fernandes alipunguzia kocha Erik ten Hag presha ya kupigwa kalamu ugani Old Trafford kwa kuwafungia bao la...

Jeraha lamtia wasiwasi Peres Jepchirchir akijiandaa kwa duru ya mwisho ya Marathon Kuu

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Olimpiki, Peres Jepchirchir huenda akakosa duru ya mwisho ya Marathon Kuu Duniani (WMM) ya New York Marathon...