• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 7:55 AM

Kombe la Afrika: Janet Okello awasili kutoka Japan kupiga jeki Kenya Lionesses

Na GEOFFREY ANENE MWANARAGA nyota Janet 'Shebesh' Okello amewasili nyumbani kutoka Japan kupiga jeki timu ya taifa ya wachezaji saba kila...

Usiku wa UEFA ambao Man Utd na Arsenal waliona giza

PARIS, Ufaransa Mashabiki walishuhudia matokeo ya kushangaza Jumanne usiku timu maarufu za Manchester United na Arsenal ziliposhindwa...

Muumini wa Kanisa la Kiadventista aponyoka na Sh11 milioni za bonasi ya Sportpesa Mega Jackpot

Na CECIL ODONGO MWANAFAMASIA mwenye umri wa miaka 35 ameponyoka na Sh11 milioni za bonasi ya Sportpesa Mega Jackpot. El Aden Wambita...

Kaunti ya Kakamega yakarabati viwanja kuanzia mashinani

Na JOHN ASHIHUNDU SERIKALI ya Kaunti ya Kakamega imeanza kukarabati viwanja kwa michezo kuanzia mashinani katika juhudi za kuimarisha...

Kenya yanyakua medali kochokocho riadha za barabara duniani

NA GEOFFREY ANENE PERES Jepchirchir, Sebastian Sawe na Beatrice Chebet walinyakua mataji ya vitengo vyao na kusaidia Kenya kushinda...

Shabiki wa Man United kwenye mizani baada ya kuahidi kumpa mwenzake wa Chelsea mkewe  

NA LABAAN SHABAAN SHABIKI wa klabu ya soka ya Manchester United amegeuka kuwa gumzo la mitandao ya kijamii, kutokana na ahadi yake –...

Arsenal moto balaa, Manchester machozi!

NA MASHIRIKA WOLVERHAMPTON Wanderers walipiga Manchester City breki kali katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa kuwapokeza kichapo cha...

Ulinzi Starlets watandika Vihiga Queens na kutetea ubingwa wa kombe la wanawake la Super

NA TOTO AREGE ULINZI Starlets wametetea kombe la wanawake la Super baada ya kuwabwaga Vihiga Queens 2-0 katika fainali mnamo Jumamosi...

Macho kwa Kipyegon na Jepchirchir mbio za barabarani Latvia 

NA GEOFFREY ANENE MBIVU na mbichi kuhusu nani mkali kwenye Riadha za Dunia za Barabarani itajulikana miamba Kenya na Ethiopia...

Antony anayekabiliwa na tuhuma za kuwadhulumu wanawake kukosa mechi ya Man-U dhidi ya Crystal Palace

NA AFP LONDON, UINGEREZA WINGA wa klabu ya Manchester United, Antony, anatarajiwa kujiunga na wenzake kambini kwa mazoezi huku...

Tutapandisha hadhi ya CAF kwa kutendea haki maandalizi ya AFCON 2027, yasema BMT

MUHTASARI Mashindano makubwa ya soka barani Afrika kwa nchi za Afrika Mashariki kwa mara ya mwisho yalifanyika Tanzania ambayo...

Hatubahatishi, tutaandaa AFCON ya kupigiwa mfano asema Ababu

Na CECIL ODONGO “Hatukupata haki ya kuandaa Kombe la Afrika 2027 kwa bahati. Tunastahili kwa sababu ombi letu lilisheheni mengi ambayo...