• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

Nondies, Kabras na KCB waingia 8-bora katika duru ya Kabeberi 7s

Na GEOFFREY ANENE NONDESCRIPTS, Kenya Harlequin, Nakuru, Strathmore Leos, Kabras Sugar, Mwamba, KCB na Menengai Oilers mnamo Jumamosi...

Fountain Gates ya TZ yamsajili mshambulizi Topister Situma wa Harambee Starlets

NA TOTO AREGE TIMU ya soka ya wanawake ya Fountain Gates Princess ya Tanzania, imemsajili mshambulizi wa Harambee Starlets Topister Situma...

Mwanahabari maarufu wa michezo Sean Cardovillis aaga dunia

NA GEOFFREY ANENE MTANGAZAJI wa zamani wa Shirika la Habari la Nation (NMG), Sean Cardovillis ameaga dunia. Mwanahabari huyo mtajika wa...

Chipukizi Kibet azoa tuzo ya SJAK

NA GEOFFREY ANENE CHIPUKIZI Aldrine Kibet sasa analenga juu zaidi baada ya kupata motisha ya kuibuka Mwanamichezo Bora wa Agosti katika...

Kocha Beldine Odemba ataja wachezaji 30 wa kuwinda tiketi ya WAFCON

NA TOTO AREGE KOCHA mpya wa timu ya taifa ya Harambee Starlets, Beldine Odemba mnamo Jumanne ametaja kikosi cha wachezaji 30 kwa...

Millicent Omanga atiririkwa na machozi Man U ikicharazwa mabao matatu na Arsenal

NA MWANGI MUIRURI WAZIRI Msaidizi (CAS) mteule wa Idara ya Usalama, Millicent Omanga anaomboleza kichapo ambacho Manchester United...

Murang’a Seal juu ya jedwali huku Gor ikifinya Ulinzi

NA CECIL ODONGO MABINGWA watetezi Gor Mahia walidhihirisha ubabe wao baada ya kuliza Ulinzi Stars 1-0 kwenye mechi kali ya Ligi Kuu...

Kocha Beldine Odemba kutaja kikosi cha Harambee Starlets

NA TOTO AREGE KOCHA mpya wa Harambee Starlets Beldine Odemba, ametwikwa majukumu ya kuiongoza Starlets kwa mechi mbili za kufuzu kwa Kombe...

Liverpool wapigiwa upatu kuhangaisha wapinzani Europa League

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa Ligi ya Uropa 1972-1973, 1975-1976 na 2001-2001, Liverpool wametiwa katika kundi rahisi la makala ya msimu...

Newcastle United wana kibarua kigumu katika Kundi F

Na MASHIRIKA NEWCASTLE United watamenyana na vigogo Paris St-Germain (PSG), Borussia Dortmund na AC Milan katika hatua ya makundi ya Klabu...

Beki wa kuwapa mashabiki wasiwasi aitwa kikosini

Na MASHIRIKA KOCHA Gareth Southgate wa timu ya taifa ya Uingereza amejumuisha wanasoka Jordan Henderson na Harry Maguire katika kikosi...

Man-City wapewa mswaki katika makundi ya UEFA

Na MASHIRIKA HUKU Newcastle United wakipewa miamba wa haiba katika hatua ya makundi ya gozi la Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), Manchester...