Na GEOFFREY ANENE NONDESCRIPTS, Kenya Harlequin, Nakuru, Strathmore Leos, Kabras Sugar, Mwamba, KCB na Menengai Oilers mnamo Jumamosi...
NA TOTO AREGE TIMU ya soka ya wanawake ya Fountain Gates Princess ya Tanzania, imemsajili mshambulizi wa Harambee Starlets Topister Situma...
NA GEOFFREY ANENE MTANGAZAJI wa zamani wa Shirika la Habari la Nation (NMG), Sean Cardovillis ameaga dunia. Mwanahabari huyo mtajika wa...
NA GEOFFREY ANENE CHIPUKIZI Aldrine Kibet sasa analenga juu zaidi baada ya kupata motisha ya kuibuka Mwanamichezo Bora wa Agosti katika...
NA TOTO AREGE KOCHA mpya wa timu ya taifa ya Harambee Starlets, Beldine Odemba mnamo Jumanne ametaja kikosi cha wachezaji 30 kwa...
NA MWANGI MUIRURI WAZIRI Msaidizi (CAS) mteule wa Idara ya Usalama, Millicent Omanga anaomboleza kichapo ambacho Manchester United...
NA CECIL ODONGO MABINGWA watetezi Gor Mahia walidhihirisha ubabe wao baada ya kuliza Ulinzi Stars 1-0 kwenye mechi kali ya Ligi Kuu...
NA TOTO AREGE KOCHA mpya wa Harambee Starlets Beldine Odemba, ametwikwa majukumu ya kuiongoza Starlets kwa mechi mbili za kufuzu kwa Kombe...
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa Ligi ya Uropa 1972-1973, 1975-1976 na 2001-2001, Liverpool wametiwa katika kundi rahisi la makala ya msimu...
Na MASHIRIKA NEWCASTLE United watamenyana na vigogo Paris St-Germain (PSG), Borussia Dortmund na AC Milan katika hatua ya makundi ya Klabu...
Na MASHIRIKA KOCHA Gareth Southgate wa timu ya taifa ya Uingereza amejumuisha wanasoka Jordan Henderson na Harry Maguire katika kikosi...
Na MASHIRIKA HUKU Newcastle United wakipewa miamba wa haiba katika hatua ya makundi ya gozi la Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), Manchester...