• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

Pinecrest Academy mabingwa wa karate kanda ya Mlima Kenya

NA LAWRENCE ONGARO SHULE ya Msingi ya Pinecrest Academy ya Juja ndio mabingwa wa Ligi ya Karate ya Shule za Kanda ya Mlima...

Refa Mary Njoroge kusimamia mchuano wa Argentina dhidi ya Uswidi

NA TOTO AREGE MWAMUZI wa mechi za Shirikiso la Soka Duniani (FIFA) Mary Njoroge, atakuwa mmoja wa marefa katika mechi ya Kundi G ya...

Kenya Police Bullets FC kutaja kikosi cha msimu mpya Ijumaa

NA TOTO AREGE KENYA Police Bullets FC mnamo Ijumaa itataja kikosi cha wachezaji 26 ambao watawakilisha timu hiyo katika msimu wa 2023/24...

Dogo Valarie Nekesa ndiye mfungaji bora Divisheni 1

NA TOTO AREGE MSHAMBULIZI Valerie Nekesa ndiye Mshindi wa Kiatu cha Dhahabu msimu wa 2022/23 katika Ligi Kuu ya Wanawake ya Divisheni ya...

Sasa naletewa waganga wa kienyeji, majini – Mandonga

Na MWANGI MUIRURI  BONDIA Karim Mandonga 'Mtu Kazi' aliyeangushwa kwa ngumi aliyoelekezewa shavuni na mwenzake Moses Golola wa Uganda...

Wakenya kushuhudia EPL moja kwa moja kupitia GOtv Supa Plus

ELIAS MAKORI Na JOHN ASHIHUNDU MASHABIKI wa soka nchini Kenya watapata fursa ya kushuhudia moja kwa moja mechi za Ligi Kuu ya Uingereza...

Kibonge wa Afrika Mashariki Mandonga mtukazi akung’utwa tena Nchini Tanzania na mwanabondia wa Uganda 

NA MWANGI MUIRURI WIKI moja baada ya mwanabondia Karim Mandonga ‘mtukazi’ kutandikwa na bondia wa Kenya Daniel Wanyonyi Jijini...

Wanahabari wa shule wapeperusha matangazo ya soka mubashara

NA WYCLIFFE NYABERI Shule ya Msingi ya Nyanguru, Kisii HUJAMBO msikilizaji na karibu katika taarifa zetu, ni mimi msomaji wako Beavon...

Waziri Namwamba aonya maafisa wasiofaa

NA JOHN ASHIHUNDU WAZIRI wa Michezo Ababu Namwamba amesema Serikali haitasita kuwachukulia hatua kali maafisa watakaopatikana na hatia...

Kocha Charles Okere kuongoza Vihiga Queens kwenye dimba la CECAFA

NA TOTO AREGE KOCHA wa zamani wa Harambee Starlets Charles Okere, ametwikwa tena jukumu la kuwaongoza mabingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake...

Omanyala kuwania taji la Josko Laufmeeting dhidi ya watimkaji 38

Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa rekodi ya Afrika mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala yuko katika orodha ya watimkaji 39 watakaowania taji...

Manchester United hoi Arsenal ikifinya Barca kirafiki

NA MASHIRIKA KIPA wa zamani wa Manchester United, Ben Foster anaamini Erik ten Hag angeendelea kumdumisha David de Gea badala ya kujaza...