• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Uhispania waangusha Italia na kujikatia tiketi ya kuvaana na Croatia kwenye fainali ya Nations League

Na MASHIRIKA JOSE Luis Mato almaarufu Joselu alifunga bao la dakika za mwisho lililovunia Uhispania ushindi wa 2-1 dhidi ya Italia mnamo...

Wolves wahakikishia mashabiki Lopetegui ataendelea kuwa kocha wa kikosi hicho msimu ujao wa 2023-24

Na MASHIRIKA WOLVERHAMPTON Wanderers wamefutilia mbali tetesi kwamba wataagana na Julen Lopetegui na kusisitiza kuwa mkufunzi huyo raia...

Wanariadha maarufu wa kikosi cha Marathon wajiondoa Team Kenya

BERNARD ROTICH NA JOHN ASHIHUNDU WANARIADHA kadhaa maarufu wa mbio za marathon wamejiondoa katika kikosi Kenya kitakachoshiriki katika...

West Ham watibua jaribio la kwanza la Arsenal kumsajili kiungo matata Declan Rice

Na MASHIRIKA JARIBIO la kwanza la Arsenal kumsajili kiungo Declan Rice limepata pigo baada ya maombi yao kukataliwa na West Ham...

Tuwei amezea mate kiti cha naibu rais wa Shirkisho la Riadha Duniani

Na GEOFFREY ANENE MWENYEKITI wa Shirikisho la Riadha Kenya (AK) Jackson Tuwei alitangaza mnamo Juni 15 kwamba anajitosa kwa...

Faith Kipyegon ataka Serikali iimarishe viwanja kote nchini

AYUMBA AYODI Na JOHN ASHIHUNDU BINGWA wa mataji ya Olimpiki na Dunia katika mbio za mita 1,500 Faith Cheng'etich Kipyegon pamoja na...

Kiungo wa Harambee Starlets atemwa na Simba

NA TOTO AREGE KLABU ya Simba Queens ya Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti Lite (SLWPL) nchini Tanzania, imevunja mkataba na mshambulizi...

Serikali yamtuza Faith Kipyegon Sh5 milioni na nyumba ya Sh6 milioni

NA MWANDISHI WETU MWANARIADHA Faith Kipyegon amekaribishwa kwa njia ya kipekee baada ya kuvunja Rekodi ya Dunia katika mashindano ya mbio...

Seahorses Aquatic Center yatawala mashindano ya kuogelea ya Kiambu

Na GEOFFREY ANENE MELISSA Alala na Dayo Mbugua waliongoza timu ya Seashorses Aquatic Center kutawala mashindano ya kuogelea ya Shirikisho...

Joseph Yobo aamini Kenya ina wanasoka wenye uwezo wa kung’ara Ulaya

Na CECIL ODONGO NYOTA wa zamani wa Everton Joseph Yobo anaamini kuwa Kenya ina wachezaji ambao talanta zao zikikuzwa vyema, watakuwa na...

Manchester City watia kibindoni tuzo ya Sh12.7 bilioni

Na MASHIRIKA SUBIRA ya muda mrefu ya Manchester City kutawazwa wafalme wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwa mara ya kwanza katika historia...

Uingereza kuwakilishwa na vikosi vinane kwenye soka ya bara Ulaya 2023-24

Na MASHIRIKA UINGEREZA itakuwa na wawakilishi wanane kwenye vipute vitatu vya soka ya bara Ulaya msimu ujao wa 2023-24. Newcastle...