• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 3:31 PM

Mshambuliaji Rafael Leao sasa kuchezea AC Milan hadi mwaka wa 2028

Na MASHIRIKA FOWADI Rafael Leao, 23, ametia saini mkataba mpya wa miaka mitano utakaomdumisha kambini mwa AC Milan hadi mwaka wa...

Florence Diamond League: Chepng’etich afuta rekodi ya dunia ya Dibaba

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Faith Chepng’etich Kipyegon ametimiza ndoto yake ya kumiliki rekodi ya dunia ya mbio za mita 1,500, huku...

Kocha Sam Allardyce abanduka kambini mwa Leeds United

Na MASHIRIKA KOCHA Sam Allardyce ameagana na Leeds United baada ya kipindi kifupi kilichomshuhudia akisimamia michuano minne kukamilika...

FAINALI YA FA: Ni Manchester United au Manchester City?

NA MASHIRIKA MBIVU na mbichi kuhusu nani mkali kati ya Manchester City na Manchester United itajulikana watakapokabana koo katika...

Kampeni ya FIFA ya kukuza soka ya wanawake nchini yakamilika washiriki wakituzwa

NA TOTO AREGE KAMPENI ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kwa ushirikiano na Shirikisho la Soka Nchini (FKF) kuimarisha kandanda ya...

Riadha za Dunia Budapest: Kiptum na Kosgei kuongoza timu ya Kenya kwenye mbio za marathon

Na AYUMBA AYODI MTIMKAJI wa pili bora kwa kasi katika historia ya mbio za kilomita 42, Kelvin Kiptum na mshikilizi wa rekodi ya dunia ya...

AK yaitisha mkutano na makocha wakune vichwa jinsi ya kushinda mbio za masafa marefu

Na AYUMBA AYODI SHIRIKISHO la Riadha Kenya (AK) limeitisha mkutano na makocha 30 kujadili na kuangalia jinsi Kenya inavyoweza kupata...

Matano asema Tusker hawana mpango wa kumsajili Lewis Bandi wa AFC Leopards

NA JOHN ASHIHUNDU KOCHA Robert Matano wa Tusker FC amesema klabu yake haina mpango wowote wa kumsajili Lewis Bandi anayeripotiwa...

Sammy ‘Kempes’ Owino kuwania urais FKF

NA JOHN ASHIHUNDU ALIYEKUWA kiungo mshambuliaji wa kimataifa Sammy ‘Kempes’ Owino ametangaza nia ya kuwania kiti cha urais kwenye...

Sevilla wakomoa AS Roma kwa penalti na kunyanyua taji la Europa League

Na MASHIRIKA SEVILLA walitia kibindoni taji lao la saba la Europa League mnamo Jumatano usiku baada ya kukomoa AS Roma ya kocha Jose...

Dalot arefusha mkataba wake kambini mwa Man-United hadi Juni 2028

Na MASHIRIKA BEKI matata wa Manchester United, Diogo Dalot, ametia saini mkataba mpya wa miaka mitano ugani Old Trafford. Difenda...

Omanyala atutumua misuli akijiandaa kuwakabili wapinzani katika Diamond League nchini Italia

Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa rekodi ya Afrika mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala atakuwa na fursa nzuri ya kulipiza kisasi...