• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 4:54 PM

Nyumba Yangu: Wanariadha kunufaika kupitia ushirikiano wa AK na HFC Group

AYUMBA AYODI na GEOFFREY ANENE Maelfu ya wanariadha wa Kenya wanatarajiwa kunufaika mpango wa nyumba za bei nafuu kati ya Shirikisho la...

Haaland alivyoweka rekodi kwa kuibuka Mchezaji Bora na Chipukizi Bora wa Mwaka katika EPL 2022-23

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Erling Haaland wa Manchester City aliweka rekodi ya kuwa sogora wa kwanza kuwahi kutawazwa Mchezaji Bora wa...

Gaspo Women kuzuru TZ na Uganda kwa mechi za kirafiki

NA TOTO AREGE WAREMBO wa Gaspo Women ya Ligi Kuu ya Wanawake nchini Kenya (KWPL), watacheza mechi mbili za kirafiki nchini Tanzania na...

Bellingham atawazwa Mchezaji Bora wa Bundesliga 2022-23

Na MASHIRIKA KIUNGO wa Borussia Dortmund, Jude Bellingham ametawazwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) msimu...

Messi aweka rekodi mpya ya ufungaji mabao bara Ulaya

Na MASHIRIKA SUPASTAA Lionel Messi aliweka rekodi nyingine ya ufungaji mabao baada ya kuchochea Paris Saint-Germain (PSG) kuambulia sare...

Funga-kazi EPL vikosi vikipigana ya mwisho

Na MASHIRIKA MIKATALE ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) hatimaye inakatwa rasmi hii leo Jumapili kwa mechi 10 tofauti zitakazosakatwa kwa...

KWPL: Mabingwa Vihiga Queens wakamilisha msimu kwa kutandika Gaspo Women 2-1

NA TOTO AREGE VIHIGA Queens wameshinda Gaspo Women 2-1 na kutangazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake ya Kenya (KWPL) msimu wa 2022/23...

STAA WA SPOTI: Miereka: Ndoto ya Nekesa wa Kitale ni kubeba taji Olimpiki

NA GEOFFREY ANENE EMMA Nekesa Wangila anajitahidi kuweka Kenya kwenye ramani ya dunia akivumisha fani inayoendelea kupata umaarufu...

Hii imeenda! Ben White na Milly sasa ni mtu na mkewe

IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO BEKI mzoefu wa Arsenal, Ben White, amefunga pingu za maisha na mpenzi wake wa muda mrefu Milly...

Hellen Obiri alenga kutetemesha kwenye New York City Marathon

Na AYUMBA AYODI BINGWA wa Boston Marathon, Hellen Obiri amesisitiza hatashiriki Riadha za Dunia nchini Hungary mwezi Agosti na badala yake...

Lautaro Martinez aongoza Inter Milan kupepeta Fiorentina na kunyanyua taji la Coppa Italia

Na MASHIRIKA LAUTARO Martinez alifunga mabao mawili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Fiorentina na kusaidia waajiri wake Inter Milan kutoka...

Koech, Were, Nusra na Mweresa watawala riadha za KDF siku ya mwisho

Na AYUMBA AYODI TINEJA Simon Koech aliduwaza mshindi wa medali ya shaba ya Olimpiki wa mbio za mita 3,000 kuruka viunzi na maji Benjamin...