Na AYUMBA AYODI TINEJA Simon Koech aliduwaza mshindi wa medali ya shaba ya Olimpiki wa mbio za mita 3,000 kuruka viunzi na maji Benjamin...
NA JOHN ASHIHUNDU SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) sasa limepokea rasmi maombi ya mataifa ya Afrika Mashariki kutaka kuandaa kwa pamoja...
NA AREGE RUTH GASPO Women watamenyana na mabingwa Vihiga Queens katika mechi ya raundi ya mwisho ya Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL),...
NA MASHIRIKA RIYADHI, Saudi Arabia SUPASTAA Cristiano Ronaldo amedai kuwa Ligi Kuu ya Soka ya Saudi Arabia imo mbioni kuwa mojawapo ya...
NA MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER United wanaweza kupumua sasa baada ya kubomoa Chelsea 4-1 mnamo Alhamisi na...
Na AYUMBA AYODI MAGARI maalum ya “Eliud Kipchoge 1:59 Isuzu D-Max Limited” yamezinduliwa kwa heshima ya bingwa huyo mara mbili wa...
Na MASHIRIKA MANCHESTER United walijikatia tiketi ya kunogesha soka ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu ujao wa 2023-24 baada ya kukomoa...
Na GEOFFREY ANENE MTIMKAJI Ferdinand Omanyala yuko mjini Miramas, Ufaransa kwa mazoezi kabla ya kuanza kampeni yake ya riadha za Diamond...
NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA THAMANI ya nyota chipukizi wa Arsenal, Bukayo Saka, imepanda mara tano ndani ya miaka mitatu. Miaka...
NA AREGE RUTH GASPO Women huenda wakapata adhabu kali, ikiwa hawatacheza mechi yao ya mwisho wa msimu wa Ligi Kuu ya Wanawake nchini...
JOHN ASHIHUNDU na MASHIRIKA RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amejitolea kwa hali na mali kuhakikisha klabu ya Young Africans (Yanga)...
NA CHARLES ONGADI BONDIA mwenye tambo kibao kutoka Tanzania, Karim ‘Mtu Kazi' Mandonga ameratibiwa kuzichapa tena na Daniel Wanyonyi...