• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Koech, Were, Nusra na Mweresa watawala riadha za KDF siku ya mwisho

Na AYUMBA AYODI TINEJA Simon Koech aliduwaza mshindi wa medali ya shaba ya Olimpiki wa mbio za mita 3,000 kuruka viunzi na maji Benjamin...

CAF yapokea rasmi azma ya Kenya, Uganda na TZ kutaka kuandaa Afcon 2027

NA JOHN ASHIHUNDU SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) sasa limepokea rasmi maombi ya mataifa ya Afrika Mashariki kutaka kuandaa kwa pamoja...

Gaspo Women wapiga abautani na kuamua kucheza dhidi ya Vihiga Queens

NA AREGE RUTH GASPO Women watamenyana na mabingwa Vihiga Queens katika mechi ya raundi ya mwisho ya Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL),...

Ligi ya Saudi Arabia itakuwa tano-bora karibuni – Ronaldo

NA MASHIRIKA RIYADHI, Saudi Arabia SUPASTAA Cristiano Ronaldo amedai kuwa Ligi Kuu ya Soka ya Saudi Arabia imo mbioni kuwa mojawapo ya...

Manchester United wafuzu kucheza michuano ya Klabu Bingwa Ulaya

NA MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER United wanaweza kupumua sasa baada ya kubomoa Chelsea 4-1 mnamo Alhamisi na...

Isuzu yazindua gari la kipekee ‘Eliud Kipchoge 1:59 Isuzu D-Max’

Na AYUMBA AYODI MAGARI maalum ya “Eliud Kipchoge 1:59 Isuzu D-Max Limited” yamezinduliwa kwa heshima ya bingwa huyo mara mbili wa...

Man-United wazamisha Chelsea 4-1 katika EPL ugani Old Trafford na kufuzu kwa soka ya UEFA 2023-24

Na MASHIRIKA MANCHESTER United walijikatia tiketi ya kunogesha soka ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu ujao wa 2023-24 baada ya kukomoa...

Omanyala afanya mazoezi nchini Ufaransa kabla ya Rabat Diamond League

Na GEOFFREY ANENE MTIMKAJI Ferdinand Omanyala yuko mjini Miramas, Ufaransa kwa mazoezi kabla ya kuanza kampeni yake ya riadha za Diamond...

Thamani ya Saka yapanda mara 5, sasa kutia mfukoni Sh2.5 bilioni kila mwaka

NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA THAMANI ya nyota chipukizi wa Arsenal, Bukayo Saka, imepanda mara tano ndani ya miaka mitatu. Miaka...

Gaspo Women kususia mechi dhidi ya Vihiga Queens

NA AREGE RUTH  GASPO Women huenda wakapata adhabu kali, ikiwa hawatacheza mechi yao ya mwisho wa msimu wa Ligi Kuu ya Wanawake nchini...

Rais wa Tanzania ajitokeza kusaidia Yanga kwa hali na mali

JOHN ASHIHUNDU na MASHIRIKA RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amejitolea kwa hali na mali kuhakikisha klabu ya Young Africans (Yanga)...

Mandonga ‘Mtu Kazi’ kusisimua tena Nairobi

NA CHARLES ONGADI BONDIA mwenye tambo kibao kutoka Tanzania, Karim ‘Mtu Kazi' Mandonga ameratibiwa kuzichapa tena na Daniel Wanyonyi...