• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 12:38 PM

Mandonga ‘Mtu Kazi’ kusisimua tena Nairobi

NA CHARLES ONGADI BONDIA mwenye tambo kibao kutoka Tanzania, Karim ‘Mtu Kazi' Mandonga ameratibiwa kuzichapa tena na Daniel Wanyonyi...

Chepng’etich kuvizia rekodi ya dunia ya 1500m Monaco Diamond League

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Faith Chepng’etich Kipyegon huenda akatimiza ndoto yake ya kuwa mshikilizi wa rekodi ya dunia ya mbio za mita...

Kiatu cha Dhahabu: Wendy Atieno na Airin Madalina wahemeshana

NA AREGE RUTH WASHAMBULIZI Airin Madalina (Bunyore Starlets) na Wendy Atieno (Thika Queens), wanahemeshana katika kuwania kiatu cha...

Madereva 34 waingia WRC Safari Rally tayari kuonyeshana ubabe Juni

Na GEOFFREY ANENE MADEREVA 34 kutoka mataifa 19 wamethibitisha kuwania taji la duru ya dunia ya mashindano ya mbio za magari za Safari...

Vihiga Queens waelekeza macho yote kwa CECAFA

NA AREGE RUTH KOCHA wa Vihiga Queens Boniface Nyamunyamu anasema, wanaelekeza macho yote katika mashindano ya Baraza la Vyama vya Soka vya...

Omanyala kutetemesha kwenye riadha za Diamond League

Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa rekodi ya Afrika mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala ametangaza kuwa yuko tayari kutetemesha kwenye...

Mbappe abeba PSG dhidi ya Auxerre

Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain (PSG) walianza kunusia taji lao la 11 la Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) baada ya fowadi Kylian Mbappe...

Arsenal wafika mwisho wa lami

NA MASHIRIKA MANCHESTER CITY wameibuka mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza EPL 22/23 baada ya Arsenal kupoteza mchuano wao wa kufa na...

Simbas yalenga kurarua Zimbabwe Currie Cup

Na GEOFFREY ANENE WENYEJI Kenya Simbas wametaja kikosi chao tayari kwa mchuano wa daraja la kwanza Kombe la Currie dhidi ya Zimbabwe...

Benki ya KCB yapiga jeki matayarisho ya Safari Rally kwa Sh150 milioni

NA GEOFFREY ANENE KCB Bank Kenya itatumia Sh150 milioni kusaidia duru ya saba ya Mbio za Magari Duniani (WRC) Safari Rally...

Vivian Moraa: Msichana anayefyatuka unyoya kama Omanyala

NA PATRICK KILAVUKA ALIWAKILISHA kanda ya Nairobi katika mashindano ya Michezo ya Riadha kwa Shule za Msingi kitaifa ambayo yaliandaliwa...

Mpango wa Serikali ni muhimu kwa wachezaji waliostaafu

NA JOHN ASHIHUNDU MPANGO wa kuinua maisha ya wanasoka wa zamani waliowahi kuchezea timu ya taifa Harambee Stars umepokelewa kwa furaha...