• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Sergio Busquets kuagana na Barcelona baada ya miaka 18 ugani Camp Nou

Na MASHIRIKA NAHODHA Sergio Busquets amethibitisha kwamba ataagana rasmi na Barcelona mwishoni mwa msimu huu wa 2022-23 baada ya...

Inter Milan wapepeta AC Milan na kutia guu moja ndani ya fainali ya UEFA

Na MASHIRIKA KATIKA mechi iliyosubiriwa kwa wiki kadhaa nchini Italia na kuhudhuriwa na zaidi ya mashabiki 80,000, Inter Milan...

Gaspo Women na Vihiga Queens wadhihirisha wako viwango vingine

NA AREGE RUTH VINARA wa ligi Gaspo Women na Vihiga Queens wanaendelea kuonyesha ushindani mkali Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL) baada...

Bonge la mechi AC Milan dhidi ya Inter Milan nusu fainali UEFA

NA MASHIRIKA MASHABIKI wanatarajia gozi la kukata na shoka ugani Stadio San Siro, Italia, wakati AC Milan na Inter Milan zitakabiliana...

Murang’a wahitaji ushindi nyumbani

NA JOHN ASHIHUNDU BAADA ya juhudi zao kuvurugwa na limbukeni Silibwet Leons mwishoni mwa wiki, Murang’a Seal italazimika iandikishe...

KWPL yapamba moto mechi za msimu zikikaribia kukamilika

NA AREGE RUTH ZIMESALIA mechi nne nne Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL) kukamilika na ushindani mkali unaendelea kushuhudiwa kwenye...

UEFA: Je, taji la Copa del Rey litaipa nguvu Real Madrid dhidi ya Manchester City?

Na MASHIRIKA KOCHA Carlo Ancelotti amewataka sasa masogora wake wa Real Madrid kujituma maradufu na kukamilisha kampeni za msimu huu...

Lacazette abeba Lyon dhidi ya Montpellier katika Ligue 1

Na MASHIRIKA ALEXANDRE Lacazette alifunga mabao manne, ikiwemo penalti ya dakika ya 100, katika ushindi wa 5-4 uliosajiliwa na waajiri...

Rais wa tenisi ya mezani duniani apongeza Kenya kwa kuandaa Kombe la Afrika la kufana

Na GEOFFREY ANENE RAIS wa Shirikisho la Kimataifa la Tenisi ya Mezani (ITTF) Petra Sorling amepongeza serikali ya Kenya kwa kuandaa...

Thika Queens warambwa na Vihiga Queens, Gaspo nao watandika Kisumu All Starlets

NA AREGE RUTH MASAIBU ya mabingwa watetezi Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL) Thika Queens yameendelea kushuhudiwa ligini baada ya...

Mashabiki wa AFC Leopards waruhusiwa kurejea uwanjani

NA JOHN ASHIHUNDU SHIRIKISHO la Soka Nchini (FKF) limeruhusu mashabiki wa AFC Leopards warejee uwanjani kuanzia wikendi hii. Barua...

NYOTA WA WIKI: Callum Wilson

NA GEOFFREY ANENE CALLUM Wilson ni mmoja wa wachezaji wanaong’ara kambini mwa Newcastle United, maarufu Magpies, katika Ligi Kuu ya...