• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 6:07 PM

McGrath ataja 15 kwa duru ya kufa-kupona ya Toulouse 7s

Na GEOFFREY ANENE KOCHA Damian McGrath amekimbilia huduma za Denis Abukuse na Ronald Omondi kuokoa Kenya Shujaa kutoka minyororo ya kuaga...

Kenya Police kuanzisha timu ya kandanda ya wanawake

NA RUTH AREGE TIMU ya Kenya Police FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Shirikisho la Soka la nchini (FKF-PL), iko mbioni kuanzisha timu ya...

Faith Chepng’etich amezea mate 42km baada ya Sifan kutawala London Marathon

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Ligi ya Almasi, Jumuiya ya Madola, dunia na Olimpiki mbio za mita 1,500, Faith Chepng’etich amepata motisha...

Omanyala kutolewa jasho na Waamerika Kip Keino Classic

Na AYUMBA AYODI KIBARUA kigumu kinasubiri bingwa mtetezi Ferdinand Omanyala baada ya watimkaji matata Marvin Bracy, Kenney Bednarek, Aaron...

Fraser-Pryce, Mkenya Imali kukabiliana Kip Keino Classic

Na AYUMBA AYODI BINGWA wa Olimpiki na Dunia Shelly-Ann Fraser-Pryce kutoka Jamaica na Mwamerika Sha'Carri Richardson wametiwa katika...

Leeds United wamfuta kazi kocha Gracia na kuajiri mkongwe Sam Allardyce

Na MASHIRIKA LEEDS United wamemfuta kazi kocha Javi Gracia na kumpokeza mikoba mkufunzi wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza, Sam...

Washambulizi Harambee Starlets wang’aa TZ na Rwanda

NA AREGE TUTH MSHAMBULIZI mahiri wa Harambee Starlets Jentrix Shikangwa, ndiye Mchezaji Bora wa mwezi Machi Ligi Kuu ya Wanawake ya...

Barcelona sasa pua na mdomo kutawazwa mabingwa wa La Liga kwa mara ya kwanza tangu 2019

Na MASHIRIKA BARCELONA watatawazwa wafalme wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) msimu huu wa 2022-23 iwapo watatandika majirani zao...

Sociedad wazima kabisa matumaini finyu ya Real Madrid kuhifadhi taji la La Liga msimu huu

Na MASHIRIKA MATUMAINI finyu ya Real Madrid kuhifadhi taji la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) msimu huu yalizimwa kabisa na Real...

PSG wamsimamisha Lionel Messi kazi kwa muda wa wiki mbili na kumtoza faini

Na MASHIRIKA NAHODHA wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, amesimamishwa kazi kwa muda wa wiki mbili na Paris Saint-Germain (PSG)...

Arsenal warejea kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA ARSENAL walirejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mnamo Jumanne usiku baada ya kupepeta Chelsea 3-1...

KWPL: Kinyang’anyiro cha kiatu cha dhahabu chapamba moto

NA AREGE RUTH ZIMESALIA mechi tano Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL) kufikia kikomo na vita vya kuwania kiatu cha dhahabu vinaendelea...