• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 6:07 PM

Mbappe ampiku Edinson Cavani na kuwa mfungaji bora wa muda wote kambini mwa PSG

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alifunga bao katika ushindi wa 3-1 uliosajiliwa na waajiri wake Paris Saint-Germain (PSG) dhidi ya Lens katika...

UEFA: Real Madrid wala mori ya kumaliza kazi dhidi ya Chelsea kwenye robo-fainali

Na MASHIRIKA REAL Madrid walijiandaa kwa mchuano wa mkondo wa pili wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) dhidi ya Chelsea kwa ushindi wa 2-0 dhidi...

Mkenya Evans Chebet ahifadhi ubingwa wa Boston Marathon

NA GEOFFREY ANENE MKENYA Evans Chebet amefanikiwa kuhifadhi ubingwa wa Boston Marathon, lakini baada ya kufanya kazi ya ziada katika...

Kocha apongeza wachezaji Thika Queens ikisaka ubingwa Kombe la Wanawake la FKF

AREGE RUTH Na ABDULRAHMAN SHERIFF KOCHA wa mabingwa watetezi Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL) Thika Queens Fredrick Majani, amepongeza...

Man-City sasa yatangazia Arsenal hali ya hatari EPL

NA MASHIRIKA KOCHA Pep Guardiola ametaka masogora wake kusakata mechi ijayo ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) dhidi ya Arsenal kama...

Kabras yaduwaza KCB fainali ya Kombe la Enterprise baada ya kutoka chini

Na GEOFFREY ANENE KABRAS Sugar wamehifadhi ubingwa wa Kombe la Enterprise baada ya kupokonya KCB ushindi kinywani ugani RFUEA mjini...

Ulinzi Starlets, Thika Queens na Kisumu All Starlets watinga robo fainali Kombe la FKF

NA AREGE RUTH MVUA ya mabao ilishuhudiwa katika uwanja wa Ruaraka jijini Nairobi, wakati wanajeshi wa Ulinzi Starlets waliinyeshea...

Ngetich ni nambari mbili Boston 5K, Kurgat namba tatu wanaume

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Agnes Ngetich ameridhika na Sh538,400 baada ya kumaliza mbio za B.A.A. 5K nyuma ya Muethiopia Mekides Abebe mjini...

Europa League: Man-United walivyotupa uongozi na kutoka sare ya 2-2 na Sevilla

Na MASHIRIKA MANCHESTER United walijifunga mabao mawili na wakampoteza beki Lisandro Martinez kupitia jeraha baya mwishoni mwa kipindi cha...

Olunga na Al Duhail hatarini kuachilia tuzo ya mfungaji bora, Ligi Kuu Qatar

Na GEOFFREY ANENE JUHUDI za mshambulizi Michael Olunga kutetea taji la mfungaji bora kwenye Ligi Kuu ya Soka ya Qatar (QSL) zimo hatarini...

Mke wa Achraf Hakimi aliyeomba talaka akitaka afaidi mali ashtuka kuambiwa ukwasi uko kwa mamake mchezaji huyo

NA MASHIRIKA MKE wa nyota wa PSG Achraf Hakimi, Hiba Abouk amewasilisha kesi ya talaka, akidai zaidi ya nusu ya mali na utajiri wa...

Bayern wamtema Sadio Mane kikosini kwa sababu ya utovu wa nidhamu

Na MASHIRIKA SADIO Mane hatakuwa sehemu ya kikosi kitakachowajibishwa na Bayern Munich dhidi ya Hoffenheim katika Ligi Kuu ya Ujerumani...