• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 8:55 AM

Zetech Sparks watuma onyo kwa Thika Queens Kombe la FKF

NA AREGE RUTH KIVUMBI kikali kinatarajiwa katika uwanja wa Ruaraka jijini Nairobi, Jumamosi, wakati Zetech Sparks na Thika Queens...

Waendesha pikipiki wa Kenya watupia jicho mashindano ya Afrika

Na GEOFFREY ANENE BAADA ya kukamata nafasi ya pili katika mbio za pikipiki za Central Africa Motocross Challenge (CAC) jijini Kampala...

Sadio Mane kuadhibiwa kwa kumlima ngumi Leroy Sane

NA MASHIRIKA MUNICH, Ujerumani MSHAMBULIAJI raia wa Senegal Sadio Mane anakabiliwa na hatari ya kuadhibiwa vikali na klabu yake ya...

Jinsi wachezaji wa kigeni walivyong’aa mashindano ya chesi 2023

NA AREGE RUTH GRANDMASTER (GM) Timur Gareyev wa Amerika na Mjerumani Mwanamke Grandmaster (WGM) Josefine Heinemann ndio mabingwa wa...

Man-City yafunza Bayern Munich kusakata soka

Na MASHIRIKA MANCHESTER City walijiweka pazuri kufuzu kwa nusu-fainali za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu baada ya kupokeza majabali...

Inter Milan guu moja ndani ya nusu-fainali za UEFA baada ya kupepeta Benfica 2-0

Na MASHIRIKA ROMELU Lukaku alifunga penalti mwishoni mwa kipindi cha pili na kusaidia waajiri wake Inter Milan kupepeta Benfica 2-0...

Manchester City guu moja ndani ya nusu-fainali UEFA

NA MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER City wameweka guu moja ndani ya nusu-fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA)...

Kocha Mulee asema Gaspo Women wameweka macho kwa Kombe la FKF

NA AREGE RUTH KOCHA mkuu wa Gaspo Women Jacob 'Ghost' Mulee anasema timu yake ina uwezo wa kutinga raundi ya nane ya kombe la Shirikisho...

Kenya kuandaa Cecafa ya wasiozidi umri wa miaka18

NA AREGE RUTH KENYA itakuwa mwenyeji wa mashindano ya wanawake ya Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) ya wachezaji...

Lampard arithi tena masaibu aliyoacha Chelsea

Na MASHIRIKA FRANK Lampard alianza vibaya awamu yake ya pili ya ukufunzi kambini mwa Chelsea kwa kichapo cha 1-0 kutoka kwa...

Son Heung-min mwanasoka wa kwanza kutoka Asia kufunga mabao 100 EPL

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Son Heung-min alifunga bao lake la 100 katika EPL na kusaidia waajiri wake Tottenham Hotspur kutandika...

Man-U wanaweza kumaliza nne-bora EPL?

Na MASHIRIKA MANCHESTER United waliendeleza rekodi nzuri ya kutopigwa katika mechi 24 ugani Old Trafford msimu huu baada ya kutandika...