• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 6:07 PM

Salaalaa! Mwanamume aliyejisajili kama mwanamke mashindano ya chesi agunduliwa

NA AREGE RUTH MAAFISA wa mashindano ya chesi - Sataranji ya Kenya Open - yanayoendelea katika ukumbi wa Sarit Expo jijini Nairobi,...

Mdogo wa Omanyala kuwakilisha Kenya riadha za Afrika za chipukizi

Na GEOFFREY ANENE KENYA imetaja vikosi vyake vya makala ya nne ya Riadha za Afrika za chipukizi wasiozidi umri wa miaka 18 na miaka 20...

Handiboli: Handege yalipua Mang’u High

NA LAWRENCE ONGARO MABINGWA watetezi wa mchezo wa handiboli Mang'u High walisalimu amri ya Handege Secondary ya Gatundu iliyowazima...

Mashindano ya riadha kanda ya Kati yatia fora licha ya mvua

Na LAWRENCE ONGARO FAINALI za riadha kwa shule za upili kanda ya Kati zimetia fora katika Shule ya Upili ya M-Pesa Foundation, Thika,...

NYOTA WA WIKI: Rafael Leao

NA GEOFFREY ANENE NYOTA Rafael Leao aliibuka mchezaji wa wiki ya 28 kwenye Ligi Kuu ya Italia (Serie A) msimu huu wa 2022-2023 ambao...

Injera ashukuru Melrose 7s Scotland kumtambua kama shujaa

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Collins Injera amesema ni heshima kubwa kutiwa katika orodha ya mashujaa wa mashindano ya Melrose Sevens uwanjani...

Vigogo wa chess wang’aa mashindano ya Kenya Open

NA AREGE RUTH  VIGOGO wa mchezo wa Sataranji (kwa kimombo Chess), waliwahangaisha wapinzani katika mashindano ya Afrika Mashariki...

Alikatwa mguu mmoja, awachenga wasio na ulemavu

NA KALUME KAZUNGU MSEMO wa ulemavu si kutoweza unadhihirishwa kikamilifu na mwanasoka maarufu wa Lamu, Lucky Hinzano Mzee,31. Bw Hinzano...

Olunga aongoza Al Duhail kutwaa ubingwa wa Qatar Cup

Na GEOFFREY ANENE MSHAMBULIZI Michael Olunga alinyakua taji lake la pili msimu huu wa 2022-2023 baada ya kuongoza Al Duhail kupiga Al Sadd...

Mechi ya Harambee Starlets dhidi ya Albania yazama

NA AREGE RUTH HARAMBEE Starlets itasubiri kwa muda mrefu kabla ya kurejea uwanjani, kufuatia kutupiliwa mbali kwa mechi yao ya kirafiki...

Leteni hao Arsenal – Klopp

NA MASHIRIKA KOCHA wa Liverpool, Jurgen Klopp, amesema kikosi chake kipo tayari kuvuruga juhudi za vinara Arsenal kubeba Ligi Kuu ya...

Dimba la betPawa laelekea Kisumu na Nakuru

NA JOHN ASHIHUNDU BAADA ya fainali za kanda ya Nairobi kufana Jumapili, ngarambe ya betPawa itaelekea Kisumu wikendi ijayo kwa fainali ya...