• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 8:57 PM

Chelsea wampiga kalamu kocha Graham Potter

Na MASHIRIKA KICHAPO cha 2-0 ambacho Chelsea walipokezwa na Aston Villa mnamo Aprili 1, 2023 ugani Stamford Bridge kilichochea wafalme hao...

Der Klassiker: Mwanzo mzuri Thomas Tuchel akisajili ushindi

Na MASHIRIKA THOMAS Tuchel alianza safari yake ya ukufunzi kambini mwa Bayern Munich kwa ushindi wa 4-2 dhidi ya waajiri wake wa zamani...

Arsenal hawashikiki vitani EPL

Na MASHIRIKA ARSENAL walidumisha pengo la alama nane kati yao na nambari mbili Manchester City kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya...

KWPL: Gaspo Women yatua kileleni

NA AREGE RUTH GASPO Women walipanda hadi nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa ligi na alama 31, baada ya kuwanyoa Kayole Starlets 3-0 bila...

Benzema asaidia Real Madrid kuponda Real Valladolid 6-0 katika La Liga

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Karim Benzema alifunga mabao matatu katika kipindi cha kwanza na kusaidia mabingwa watetezi Real Madrid kuponda...

Olunga aendeleza rekodi nzuri ufungaji mabao

Na GEOFFREY ANENE MSHAMBULIZI nyota Michael Olunga amefurahia kuanza Aprili kwa kuchangia katika kuzalishwa kwa mabao mawili Al Duhail...

Monica Etot aokoa Kisumu All Starlets mikononi mwa Thika Queens

NA AREGE RUTH MABAO mawili ya mshambulizi Monica Etot katika dakika ya 13 na 83, yalitosha kuipa Kisumu All Starlets alama moja dhidi ya...

Kipkorir, Kimais wang’aria wapinzani Prague Half Marathon

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Roncer Kipkorir na Irine Kimais wameibuka mabingwa wapya wa Prague Half Marathon nchini Czech,...

Shujaa yavuta mkia Hong Kong 7s

Na GEOFFREY ANENE KENYA Shujaa imeambulia alama moja ikivuta mkia kwenye duru ya saba ya Raga za Dunia mjini Hong Kong, Jumapili. Baada...

Man-City watandika Liverpool 4-1 katika EPL

NA MASHIRIKA MANCHESTER City waliweka hai matumaini ya kuhifadhi taji la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu kwa kukomoa Liverpool 4-1...

STAA WA SPOTI: ‘Neymar’ wa Falling Waters ya Barcelona anawika Ligi 2

NA RUTH AREGE JANE Njeri maarufu Neymar ni miongoni mwa washambulizi hodari wanaotamba Ligi ya Kitaifa Divisheni ya Kwanza. Njeri...

Barcelona wasuka mpango wa kurejesha Lionel Messi ugani Camp Nou

Na MASHIRIKA NAIBU Rais wa Barcelona, Rafael Yuste, amefichua mpango wa miamba hao wa soka ya Uhispania kumsajili upya supastaa Lionel...