• Nairobi
  • Last Updated May 21st, 2024 8:55 PM

Bayer Leverkusen yazamisha chombo cha Bayern Munich katika gozi la Bundesliga

Na MASHIRIKA EXEQUIEL Palacios alifunga penalti mbili na kusaidia waajiri wake Bayer Leverkusen kupepeta Bayern Munich 2-1 katika mechi ya...

Fowadi Zlatan Ibrahimovic aweka rekodi ya kuwa mfungaji mkongwe zaidi katika Serie A

Na MASHIRIKA KIGOGO Zlatan Ibrahimovic aliweka rekodi ya kuwa mfungaji mkongwe zaidi katika historia ya Ligi Kuu ya Italia (Serie A)...

Mshambulizi Fasila Adhiambo abeba wanajeshi wa Ulinzi Starlets hadi raundi ya 16 Kombe la FKF

AREGE RUTH Na ABDULRAHMAN SHERIFF BAO la mshambulizi Fasila Adhiambo dhidi ya Gusii Starlets, limewapa wanajeshi wa Ulinzi Starlets...

Kenya U13 yaelekea Uingereza kwa raga za kimataifa za Rosslyn Park 7s

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya Kenya ya wanaraga wasiozidi umri wa miaka 13 almaarufu IAPS Kenya imeelekea Uingereza kwa mashindano ya...

Omanyala, Shelly-Ann Fraser-Pryce tayari kufyatuka kasi ya juu Botswana

Na AYUMBA AYODI BINGWA wa Afrika, Jumuiya ya Madola na Kip Keino Classic mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala pamoja na Mjamaica...

Crystal Palace yamtimua kocha Patrick Vieira

NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza KOCHA Patrick Vieira ameingia katika orodha ndefu ya makocha wa Ligi Kuu ya Uingereza walioangukiwa na...

Napoli wakomoa Eintracht Frankfurt na kutinga robo-fainali za UEFA kwa mara ya kwanza katika historia

Na MASHIRIKA VICTOR Osimhen alifunga mabao mawili na kusaidia Napoli kutinga robo-fainali za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwa mara ya...

Real Madrid wazima ndoto ya Liverpool katika UEFA kwa mara ya tatu mfululizo

Na MASHIRIKA MATUMAINI ya Liverpool kupiga hatua zaidi kwenye Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu yalizimwa na mabingwa watetezi Real...

Firat ataja kikosi cha Harambee Stars kumenyana na Iran kirafiki jijini Tehran

Na GEOFFREY ANENE Harambee Stars itaingia kambini hapo Machi 17 kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya mabingwa wa zamani wa Bara Asia...

Wakenya kushiriki Jumuiya ya Madola ya chipukizi Trinidad & Tobago

Na GEOFFREY ANENE KENYA itashiriki uogeleaji, riadha, uendeshaji wa baiskeli, triathlon, raga ya wachezaji saba kila upande na voliboli ya...

Haaland aweka rekodi mpya ya ufungaji mabao UEFA baada ya kucheka na nyavu mara tano na kuongoza Man-City kudhalilisha Leipzig ugani Etihad

NA MASHIRIKA ERLING Haaland aliweka historia kwa kufunga mabao matano katika ushindi mnono wa 7-0 uliosajiliwa na Manchester City dhidi...

Black Stars kukosa mazishi ya Christian Atsu

JOHN ASHIHUNDU na MASHIRIKA KIKOSI kizima cha timu ya taifa ya Ghana kitakosa kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mchezaji wa timu hiyo,...