• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 12:11 PM

Celtic wakomoa Rangers 2-0 na kutawazwa mabingwa wa League Cup nchini Scotland

Na MASHIRIKA KYOGO Furuhashi alifunga mabao mawili na kusaidia waajiri wake Celtic kuhifadhi ubingwa wa Viaplay Cup baada ya kupepeta...

Messi na Mbappe wabeba PSG dhidi ya Marseille na kuweka rekodi mpya za ufungaji wa mabao

Na MASHIRIKA LIONEL Messi, 35, alifunga bao lake la 700 akitandaza soka katika ngazi ya klabu na kusaidia waajiri wake Paris...

Man-United wakomoa Newcastle 2-0 ugani Wembley na kutwaa ufalme wa Carabao Cup

Na MASHIRIKA MANCHESTER United walishinda taji la kwanza tangu 2017 baada ya kukomoa Newcastle United 2-0 katika fainali ya Carabao Cup...

Thika Queens wawekea Vihiga Queens presha kali ligini KWPL

LAWRENCE ONGARO Na AREGE RUTH THIKA Queens FC sasa inafuata Vihiga Queens katika jedwali la Ligi Kuu ya Wanawake Nchini (KWPL) ikiwa...

Tottenham watia Potter katika hatari zaidi ya kupigwa kalamu uwanjani Stamford Bridge

Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur waliimarisha nafasi ya kumaliza kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu ndani ya orodha ya...

Al Duhail anayochezea Olunga yaaibishwa Klabu Bingwa Asia 7-0

Na GEOFFREY ANENE MIAMBA wa Qatar Al Duhail wameaibishwa 7-0 kwenye Klabu Bingwa Asia mikononi mwa mabingwa watetezi Al Hilal katika...

VITUKO: Nyumbani kwa Gundogan wanahesabu siku tu za kukaribisha kifungua mimba

IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO KIUNGO mzoefu wa Manchester City na timu ya taifa ya Ujerumani, Ilkay Gundogan, amesema ni siku za kuhesabu...

NYOTA WA WIKI: Khvicha Kvaratskhelia

NA GEOFFREY ANENE KHVICHA Kvaratskhelia ni mmoja wa wachezaji wakali kutoka taifa la Georgia hivi karibuni. Hapajatokea mchezaji mwingine...

Kocha Graham Potter asema anatishiwa maisha pamoja na ya familia yake kwa sababu ya matokeo duni ya Chelsea

NA MASHIRIKA KOCHA wa Chelsea, Graham Potter, amesema anatishiwa maisha pamoja na ya familia yake kutokana na matokeo duni ya kikosi hicho...

VITUKO: Kweli kipendacho roho ya Jesus ni Raiane pekee!

IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO NYOTA wa Arsenal, Gabriel Jesus, amerudiana na kidosho Raiane Lima na kudokezea mashabiki kuwa harusi iko...

Vihiga Queens, Nakuru City Queens kitaeleweka ligini KWPL leo Jumamosi

NA AREGE RUTH KIVUMBI kikali kinatarajiwa wikendi hii kati ya vinara wa ligi Vihiga Queens na Nakuru City Queens ugani Mumias Complex...

Mtimkaji Pkemoi apeperusha bendera ya Kenya vilivyo Transgrancanaria Marathon

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Robert Pkemoi ameibuka mshindi wa mbio za milimani za Transgrancanaria Marathon mjini Maspalomas katika kisiwa...