Na MASHIRIKA KYOGO Furuhashi alifunga mabao mawili na kusaidia waajiri wake Celtic kuhifadhi ubingwa wa Viaplay Cup baada ya kupepeta...
Na MASHIRIKA LIONEL Messi, 35, alifunga bao lake la 700 akitandaza soka katika ngazi ya klabu na kusaidia waajiri wake Paris...
Na MASHIRIKA MANCHESTER United walishinda taji la kwanza tangu 2017 baada ya kukomoa Newcastle United 2-0 katika fainali ya Carabao Cup...
LAWRENCE ONGARO Na AREGE RUTH THIKA Queens FC sasa inafuata Vihiga Queens katika jedwali la Ligi Kuu ya Wanawake Nchini (KWPL) ikiwa...
Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur waliimarisha nafasi ya kumaliza kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu ndani ya orodha ya...
Na GEOFFREY ANENE MIAMBA wa Qatar Al Duhail wameaibishwa 7-0 kwenye Klabu Bingwa Asia mikononi mwa mabingwa watetezi Al Hilal katika...
IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO KIUNGO mzoefu wa Manchester City na timu ya taifa ya Ujerumani, Ilkay Gundogan, amesema ni siku za kuhesabu...
NA GEOFFREY ANENE KHVICHA Kvaratskhelia ni mmoja wa wachezaji wakali kutoka taifa la Georgia hivi karibuni. Hapajatokea mchezaji mwingine...
NA MASHIRIKA KOCHA wa Chelsea, Graham Potter, amesema anatishiwa maisha pamoja na ya familia yake kutokana na matokeo duni ya kikosi hicho...
IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO NYOTA wa Arsenal, Gabriel Jesus, amerudiana na kidosho Raiane Lima na kudokezea mashabiki kuwa harusi iko...
NA AREGE RUTH KIVUMBI kikali kinatarajiwa wikendi hii kati ya vinara wa ligi Vihiga Queens na Nakuru City Queens ugani Mumias Complex...
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Robert Pkemoi ameibuka mshindi wa mbio za milimani za Transgrancanaria Marathon mjini Maspalomas katika kisiwa...