Na MASHIRIKA FOWADI matata wa Paris Saint-Germain (PSG) na timu ya taifa ya Brazil, Neymar Jr, atasalia mkekani kwa muda mrefu baada ya...
Na GEOFFREY ANENE MTIMKAJI Joseph Lenkoina Lepatei ameapa kuwania vilivyo tiketi kwenye mashindano ya kuchagua timu ya taifa ya wanariadha...
Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Dominic Kipngeno Mibei na Margaret Njuguna Wangui wameibuka washindi wa mbio za Tel Aviv Playtika Marathon...
Na MASHIRIKA KIPA wa timu ya taifa ya Uingereza, Jordan Pickford, amerefusha mkataba wake kambini mwa Everton. Mlinda-lango huyo mwenye...
Na GEOFFREY ANENE NYOTA Michael Olunga alitetemesha nyavu za Al Shabab Riyadh mara mbili katika ushindi wa Al Duhail 2-1 katika...
NA AREGE RUTH KOCHA mkuu wa timu ya Kayole Ladies Joshua Sakwa anasema, kwa sasa wanatafuta ufadhili wa kudumu ili kujiondoa kwenye...
Na MASHIRIKA MATUMAINI ya Liverpool kutinga robo-fainali za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu yalididimizwa na mabingwa watetezi Real...
Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliambulia sare ya 1-1 dhidi ya RB Leipzig katika mchuano wa mkondo wa kwanza wa hatua ya 16-bora ya Klabu...
NA PATRICK KILAVUKA YOUTH Vision ambayo uga wake wa nyumbani ni Jacaranda, Kaunti ya Nairobi, ilipata msisimko na msukumo wa kuchapa...
Na MASHIRIKA BEKI wa zamani wa Manchester United, John O’Shea, ameteuliwa kuwa kocha msaidizi katika timu ya taifa ya Jamhuri ya Ireland...
Na MASHIRIKA FOWADI Romelu Lukaku alitokea benchi katika kipindi cha pili na kufungia waajiri wake Inter Milan bao la pekee na la ushindi...
NA MASHIRIKA BERLIN, Ujerumani MICHUANO ya Klabu Bingwa barani Ulaya inaendelea leo Jumatano, huku kukiwa na pambano kubwa kati ya RB...