• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 8:50 AM

Jeraha la kifundo cha mguu kumweka Neymar mkekani kwa kipindi kirefu

Na MASHIRIKA FOWADI matata wa Paris Saint-Germain (PSG) na timu ya taifa ya Brazil, Neymar Jr, atasalia mkekani kwa muda mrefu baada ya...

Chipukizi kuwania tiketi 31 za Afrika Mashariki, macho kwa Omanyala riadha za watu wazima

Na GEOFFREY ANENE MTIMKAJI Joseph Lenkoina Lepatei ameapa kuwania vilivyo tiketi kwenye mashindano ya kuchagua timu ya taifa ya wanariadha...

Kipngeno ashinda Tel Aviv Marathon, Njuguna apata taji la tano

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Dominic Kipngeno Mibei na Margaret Njuguna Wangui wameibuka washindi wa mbio za Tel Aviv Playtika Marathon...

Jordan Pickford atia saini mkataba mpya kambini mwa Everton

Na MASHIRIKA KIPA wa timu ya taifa ya Uingereza, Jordan Pickford, amerefusha mkataba wake kambini mwa Everton. Mlinda-lango huyo mwenye...

Olunga abeba Al Duhail ikitinga nusu-fainali Klabu Bingwa Asia

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Michael Olunga alitetemesha nyavu za Al Shabab Riyadh mara mbili katika ushindi wa Al Duhail 2-1 katika...

Kayole Ladies wapanga jinsi watakavyojitoa mkiani KWPL

NA AREGE RUTH  KOCHA mkuu wa timu ya Kayole Ladies Joshua Sakwa anasema, kwa sasa wanatafuta ufadhili wa kudumu ili kujiondoa kwenye...

Liverpool guu moja nje ya UEFA baada ya Real Madrid kuwapiga 5-2 katika mkondo wa kwanza wa hatua ya 16-bora ugani Anfield

Na MASHIRIKA MATUMAINI ya Liverpool kutinga robo-fainali za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu yalididimizwa na mabingwa watetezi Real...

Man-City na RB Leipzig nguvu sawa katika pambano la UEFA nchini Ujerumani

Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliambulia sare ya 1-1 dhidi ya RB Leipzig katika mchuano wa mkondo wa kwanza wa hatua ya 16-bora ya Klabu...

Lengo la Youth Vision FC ni kukuza vipawa na kushiriki Ligi Kuu Nchini

NA PATRICK KILAVUKA YOUTH Vision ambayo uga wake wa nyumbani ni Jacaranda, Kaunti ya Nairobi, ilipata msisimko na msukumo wa kuchapa...

Mwanasoka wa zamani wa Man-United, John O’Shea ateuliwa kuwa kocha msaidizi wa Jamhuri ya Ireland

Na MASHIRIKA BEKI wa zamani wa Manchester United, John O’Shea, ameteuliwa kuwa kocha msaidizi katika timu ya taifa ya Jamhuri ya Ireland...

Romelu Lukaku abeba Inter Milan dhidi ya FC Porto katika mkondo wa kwanza wa hatua ya 16-bora ya UEFA ugani San Siro

Na MASHIRIKA FOWADI Romelu Lukaku alitokea benchi katika kipindi cha pili na kufungia waajiri wake Inter Milan bao la pekee na la ushindi...

Presha Pep akizuru Leipzig kipute cha UEFA leo usiku

NA MASHIRIKA BERLIN, Ujerumani MICHUANO ya Klabu Bingwa barani Ulaya inaendelea leo Jumatano, huku kukiwa na pambano kubwa kati ya RB...