• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

Namwamba: Tutakata mabilioni ya Safari Rally hadi nusu

Na AYUMBA AYODI SERIKALI inapanga kupunguza bajeti ya raundi ya Mbio za Magari za Dunia (WRC) Safari Rally hadi nusu. Waziri wa Michezo...

Pigo kwa PSG baada ya Neymar kupata jeraha dhidi ya Lille katika mechi ya Ligi Kuu ya Ufaransa

Na MASHIRIKA SOGORA Neymar Jr aliondolewa uwanjani kwa machela kabla ya Lionel Messi kufunga bao la ushindi katika dakika ya 95 kwenye...

Real Madrid wakomoa Osasuna na kuendelea kuifuata Barcelona kwenye mbio za kusaka taji la La Liga

Na MASHIRIKA REAL Madrid wanaendelea kuifuatwa Barcelona baada ya kukomoa Osasuna 2-0 ugenini katika Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) mnamo...

Presha kwa Bayern baada ya kichapo kutoka kwa Gladbach kuwaweka katika hatari ya kupitwa

Na MASHIRIKA BAYERN Munich wako katika hatari ya kupitwa na nambari mbili Borussia Dortmund na namba tatu Union Berlin kwenye jedwali la...

Wanajeshi wa Ulinzi Starlets waahidi kupigana vilivyo kutetea taji la Kombe la FKF

NA AREGE RUTH KOCHA mkuu wa timu wanajeshi wa Ulinzi Starlets Joseph Mwanzia, ana imani kwamba timu yake ina uwezo wa kutetea taji la...

Obiri atawala Ras Al Khaimah Half, Koech aongoza wanaume 1-2-3

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Hellen Obiri na Benard Koech waliibuka washindi wa mbio za Ras Al Khaimah Half Marathon katika kisiwa cha Al...

Jinsi Man-City walivyopoteza nafasi ya kurejea kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA BEKI Kyle Walker amesema matokeo ya kikosi chao cha Manchester City “hayakubaliki” baada ya sare ya 1-1...

Liverpool yafufuka

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walitandika Newcastle United 2-0 ugani St James’ Park mnamo Jumamosi na kuweka wazi azma yao na kuwa miongoni mwa...

Hoki: Butali 3-bora Klabu Bingwa Afrika

NA JOHN KIMWERE WAFALME wa hoki nchini Butali Warriors walipiga Police Machine ya Nigeria mabao 3-2 na kumaliza namba tatu katika...

Gusii Starlets na Vikers Queens watamba Kombe la FKF

NA AREGE RUTH GUSII Starlets walijikatia tiketi ya kuingia kwenye raundi ya 32 ya kombe la Shirikisho la Soka nchini (FKF), baada ya...

Mwili wa sogora Christian Atsu wapatikana chini ya vifusi vya nyumba yake nchini Uturuki

Na MASHIRIKA MWANASOKA Christian Atsu amepatikana akiwa ameaga dunia chini ya vifusi vya nyumba yake wiki mbili baada ya tetemeko kubwa la...

Wanaraga wa Kabras Sugar wavunja rekodi ya KCB kutoshindwa ligini

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA watetezi Kabras Sugar wamevunja rekodi ya wenyeji KCB kutoshindwa baada ya kuwalima 31-23 uwanjani KCB Ruaraka...