Na AYUMBA AYODI SERIKALI inapanga kupunguza bajeti ya raundi ya Mbio za Magari za Dunia (WRC) Safari Rally hadi nusu. Waziri wa Michezo...
Na MASHIRIKA SOGORA Neymar Jr aliondolewa uwanjani kwa machela kabla ya Lionel Messi kufunga bao la ushindi katika dakika ya 95 kwenye...
Na MASHIRIKA REAL Madrid wanaendelea kuifuatwa Barcelona baada ya kukomoa Osasuna 2-0 ugenini katika Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) mnamo...
Na MASHIRIKA BAYERN Munich wako katika hatari ya kupitwa na nambari mbili Borussia Dortmund na namba tatu Union Berlin kwenye jedwali la...
NA AREGE RUTH KOCHA mkuu wa timu wanajeshi wa Ulinzi Starlets Joseph Mwanzia, ana imani kwamba timu yake ina uwezo wa kutetea taji la...
Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Hellen Obiri na Benard Koech waliibuka washindi wa mbio za Ras Al Khaimah Half Marathon katika kisiwa cha Al...
Na MASHIRIKA BEKI Kyle Walker amesema matokeo ya kikosi chao cha Manchester City “hayakubaliki” baada ya sare ya 1-1...
Na MASHIRIKA LIVERPOOL walitandika Newcastle United 2-0 ugani St James’ Park mnamo Jumamosi na kuweka wazi azma yao na kuwa miongoni mwa...
NA JOHN KIMWERE WAFALME wa hoki nchini Butali Warriors walipiga Police Machine ya Nigeria mabao 3-2 na kumaliza namba tatu katika...
NA AREGE RUTH GUSII Starlets walijikatia tiketi ya kuingia kwenye raundi ya 32 ya kombe la Shirikisho la Soka nchini (FKF), baada ya...
Na MASHIRIKA MWANASOKA Christian Atsu amepatikana akiwa ameaga dunia chini ya vifusi vya nyumba yake wiki mbili baada ya tetemeko kubwa la...
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA watetezi Kabras Sugar wamevunja rekodi ya wenyeji KCB kutoshindwa baada ya kuwalima 31-23 uwanjani KCB Ruaraka...