• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

Omanyala aomba serikali iweke mazulia Kasarani, Mombasa na Kisumu kuinua talanta ya mbio fupi

Na AYUMBA AYODI BINGWA wa Jumuiya ya Madola mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala ameomba serikali iweke mazulia ya kukimbilia katika...

Arsenal wasubiri hadi dakika za mwisho kuzamisha chombo cha Aston Villa katika EPL

Na MASHIRIKA ARSENAL waliweka kando maruerue ya kutoshinda mechi nne mfululizo na kutoa ishara ya jinsi walivyo tayari kutwaa ufalme wa...

VITUKO: Sasa mrembo Ivana awinda penzi la Jesus huku kipusa Elle akimtaka Haaland

IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO MWANAMITINDO maarufu mzawa wa Ujerumani na raia wa Croatia, Ivana Knoll, sasa asema tamanio lake ni...

NYOTA WA WIKI: Alejandro Garnacho

NA GEOFFREY ANENE ALEJANDRO Garnacho ni mmoja wa mawinga wanaosakata soka ya kupendeza ndani na nje ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL). Mzawa...

Barcelona na Man-United nguvu sawa katika mkondo wa kwanza wa mchujo wa Europa League ugani Camp Nou

Na MASHIRIKA KOCHA Erik ten Hag alikuwa mwingi wa sifa kwa kikosi chake cha Manchester United kilichohimili presha kutoka kwa Barcelona na...

Trans Nzoia Falcons wanyorosha Kangemi Ladies kiboko kimoja cha uchungu katika KWPL

AREGE RUTH Na ORSBORN MANYENGO BAO la mshambuliaji Lindah Nyongesa, lilitosha kuwapa Trans Nzoia Falcons alama tatu katika ushindi wa...

Obiri, Mateiko waendea mamilioni ya Ras Al Khaimah Half Marathon

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Hellen Obiri na Daniel Mateiko watatia kibindoni Sh14,325,603 kila mmoja ikiwa watashinda mbio za Ras Al Khaimah...

Mwitaliano Jacobs apongeza Omanyala baada ya kulemewa

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa dunia mbio za mita 60 na Olimpiki 100m Marcell Jacobs mnamo Alhamisi amepongeza Ferdinand Omanyala baada ya...

Salernitana wamtimua kocha kwa mara ya pili baada ya siku 31 pekee

Na MASHIRIKA KLABU ya Salernitana inayoshiriki Ligi Kuu ya Italia (Serie A), imemtimua kocha Davide Nicola kwa mara ya pili baada ya...

Kocha Aussems awaomba mashabiki wajitokeze kwa wingi Jumapili

NA JOHN ASHIHUNDU AFC Leopards inaendelea kujitia makali kwa ajili ya mechi yao Kariobangi Sharks, Jumapili ugani Nyayo, huku kocha wa...

Man-City watandika Arsenal 3-1 ugani Emirates na kutua kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA MANCHESTER City walirejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa mara ya kwanza tangu Novemba 2022 baada...

Borussia Dortmund wapepeta Chelsea 1-0 katika hatua ya 16-bora ya UEFA uwanjani Signal Iduna Park

Na MASHIRIKA BAO la kipindi cha pili kutoka kwa Karim Adeyemi liliwapa Borussia Dortmund ushindi wa 1-0 dhidi ya Chelsea katika mchuano...