Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur watakuwa na mtihani mgumu wa kujinyanyua katika uwanja wao wa nyumbani watakaporudiana na AC Milan katika...
Na MASHIRIKA BENFICA waliweka hai matumaini ya kutinga robo-fainali za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu wa 2022-23 baada ya kutandika...
Na MASHIRIKA KINGSLEY Coman alifunga bao la pekee katika ushindi wa 1-0 uliosajiliwa na Bayern Munich dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG)...
Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa mbio za mita 800 kwenye Riadha za Dunia za chipukizi wasiozidi umri wa miaka 18 mwaka 2017 na Afrika kwa...
Na MASHIRIKA KOCHA wa zamani wa Brighton, Chris Hughton, ameteuliwa kudhibiti mikoba ya timu ya taifa ya Ghana. Mkufunzi huyo mwenye umri...
Na MASHIRIKA BEKI Presnel Kimpembe wa Paris Saint-Germain (PSG) alilazimika kuwaomba mashabiki wao msamaha baada ya kikosi chao kupokezwa...
NA AREGE RUTH BAADA ya raundi ya tisa ya michuano ya Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL), ushindani mkali unaendela kushuhudiwa upande wa...
Na MASHIRIKA REAL Madrid walitawazwa wafalme wa Kombe la Klabu Bingwa Duniani (Fifa Club World Cup) baada ya kukomoa Al-Hilal 5-3 mnamo...
Na MASHIRIKA BARCELONA walifungua pengo la pointi 11 kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) baada ya kusajili ushindi...
Na MASHIRIKA SOUTHAMPTON wamemfuta kazi kocha Nathan Jones, 49, baada ya kuhudumu kambini mwao kwa siku 95 pekee. Mkufunzi huyo wa zamani...
Na MASHIRIKA NAPOLI waliweka hai matumaini ya kutawazwa wafalme wa Ligi Kuu ya Italia (Serie A) kwa mara ya kwanza tangu 1989-90 baada ya...
NA ABDULRAHMAN SHERIFF KAMPUNI ya Kadmus Freight inayosimamia utoaji mizigo katika Bandari ya Mombasa, imesaidia pakubwa kuokoa hatima ya...