• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

AC Milan wazamisha chombo cha Spurs katika gozi la UEFA ugani San Siro

Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur watakuwa na mtihani mgumu wa kujinyanyua katika uwanja wao wa nyumbani watakaporudiana na AC Milan katika...

Benfica watandika Club Bruges katika UEFA ugenini na kujiweka pazuri kutinga robo-fainali za kipute hicho

Na MASHIRIKA BENFICA waliweka hai matumaini ya kutinga robo-fainali za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu wa 2022-23 baada ya kutandika...

Bayern Munich wakomoa PSG katika mkondo wa kwanza wa 16-bora katika UEFA ugani Parc des Princes

Na MASHIRIKA KINGSLEY Coman alifunga bao la pekee katika ushindi wa 1-0 uliosajiliwa na Bayern Munich dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG)...

Mwanariadha Wambui ala marufuku kwa matumizi ya pufya

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa mbio za mita 800 kwenye Riadha za Dunia za chipukizi wasiozidi umri wa miaka 18 mwaka 2017 na Afrika kwa...

Timu ya taifa ya Ghana yapokeza Chris Hughton mikoba ya ukocha

Na MASHIRIKA KOCHA wa zamani wa Brighton, Chris Hughton, ameteuliwa kudhibiti mikoba ya timu ya taifa ya Ghana. Mkufunzi huyo mwenye umri...

Presnel Kimpembe aomba mashabiki msamaha baada ya kikosi chao cha PSG kuangushwa na Monaco ligini

Na MASHIRIKA BEKI Presnel Kimpembe wa Paris Saint-Germain (PSG) alilazimika kuwaomba mashabiki wao msamaha baada ya kikosi chao kupokezwa...

Kiatu cha dhahabu KWPL chapata ushindani mkali

NA AREGE RUTH BAADA ya raundi ya tisa ya michuano ya Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL), ushindani mkali unaendela kushuhudiwa upande wa...

Real Madrid watandika Al-Hilal ya Saudi Arabia na kutwaa ufalme wa Klabu Bingwa Duniani

Na MASHIRIKA REAL Madrid walitawazwa wafalme wa Kombe la Klabu Bingwa Duniani (Fifa Club World Cup) baada ya kukomoa Al-Hilal 5-3 mnamo...

Barcelona wapiga Villarreal na kufungua mwanya wa pointi 11 kileleni mwa jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA BARCELONA walifungua pengo la pointi 11 kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) baada ya kusajili ushindi...

Southampton wamtimua kocha Nathan Jones

Na MASHIRIKA SOUTHAMPTON wamemfuta kazi kocha Nathan Jones, 49, baada ya kuhudumu kambini mwao kwa siku 95 pekee. Mkufunzi huyo wa zamani...

Napoli wapepeta wanyonge Cremonese na kufungua pengo la pointi 16 kileleni mwa jedwali la Serie A

Na MASHIRIKA NAPOLI waliweka hai matumaini ya kutawazwa wafalme wa Ligi Kuu ya Italia (Serie A) kwa mara ya kwanza tangu 1989-90 baada ya...

Kampuni ya Kadmus Freight yaokoa timu kwa ligi ya FKF

NA ABDULRAHMAN SHERIFF KAMPUNI ya Kadmus Freight inayosimamia utoaji mizigo katika Bandari ya Mombasa, imesaidia pakubwa kuokoa hatima ya...