• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 3:13 PM

Lengo la Murang’a Seal ni kusaidia vijana kutimiza ndoto yao ya kusakata soka ya kulipwa

NA JOHN ASHIHUNDU KUSHIRIKI katika Ligi Kuu ya Kenya sio nia kuu ya klabu ya Murang’a Seal, bali ni kunoa vipaji vya vijana na...

Barcelona wakomoa Sevilla na kufungua mwanya wa alama nane kileleni mwa jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA BARCELONA walifungua mwanya wa alama nane kati yao na nambari mbili Real Madrid kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania...

Chepng’etich arejea mbio za nyika kwa kishindo, alenga kutawala Riadha za Dunia nchini Hungary

Na GEOFFREY ANENE MALKIA wa Olimpiki na dunia mbio za mita 1,500, Faith Chepng'etich alirejea kwa kishindo katika mbio za nyika baada ya...

Mallorca yaduwaza Real Madrid katika pambano la La Liga

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga), Real Madrid, walipoteza fursa ya kupunguza pengo la alama kati yao na...

Wolves wang’ata Liverpool na kuendeleza masaibu ya kocha Jurgen Klopp katika EPL msimu huu

Na MASHIRIKA WOLVERHAMPTON Wanderers ya kocha Julen Lopetegui iliendeleza masaibu ya kocha Jurgen Klopp katika Ligi Kuu ya Uingereza...

Lionel Messi abeba PSG dhidi ya Toulouse katika Ligi Kuu ya Ufaransa

Na MASHIRIKA BAO la kiufundi kutoka kwa Lionel Messi lilisaidia Paris Saint-Germain (PSG) kutoka nyuma na kukung’uta Toulouse 2-1 katika...

Newcastle United na West Ham nguvu sawa katika EPL ugani St James’ Park

Na MASHIRIKA WEST Ham United walitoka nyuma na kulazimishia Newcastle United sare ya 1-1 katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) ugani St...

Manchester United wazamisha Palace katika EPL ugani Old Trafford licha ya Casemiro kuonyeshwa kadi nyekundu

Na MASHIRIKA MARCUS Rashford aliendeleza ubabe wake wa kufunga mabao tangu kukamilika kwa fainali za Kombe la Dunia za 2022 nchini Qatar...

Martinelli sasa kuchezea Arsenal hadi mwaka wa 2027

Na MASHIRIKA FOWADI wa Arsenal, Gabriel Martinelli, 21, ametia saini mkataba mpya wa muda mrefu utakaomdumisha uwanjani Emirates hadi...

KWPL: Ulinzi Starlets wapiga Vihiga Queens 3-2 uwanjani Mumias Sports Complex

NA AREGE RUTH MABINGWA mara tatu Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL) Vihiga Queens, wamepoteza mechi yao ya pili msimu huu...

Everton wapiga Arsenal breki kali katika EPL

NA MASHIRIKA ARSENAL walipoteza fursa ya kufungua mwanya wa alama nane kati yao na mabingwa watetezi Manchester City kileleni mwa jedwali...

Chelsea na Fulham watoshana nguvu kwa sare tasa katika mechi ya EPL ugani Stamford Bridge

Na MASHIRIKA LICHA ya kumchezesha Enzo Fernandez aliyevunja rekodi ya uhamisho wa wachezaji nchini Uingereza, Chelsea walikosa kuangusha...