• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 3:13 PM

STAA WA SPOTI: Huyu fowadi Felix Ojow ni moto otea mbali Kenya Cup

NA GEOFFREY ANENE KLABU ya KCB imekuwa ikifanya vyema kwenye mashindano ya raga tangu 2015, ikiwemo kunyakua mataji matano ya Ligi Kuu...

VITUKO: Sogora King Kazu atachoka na mpira siku akifikisha umri wa miaka 60

IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO FOWADI Kazu Miura, 55, ndiye mwanasoka mkongwe kabisa duniani anayezidi kutamba uwanjani! Amini usiamini,...

NYOTA WA WIKI: Kaoru Mitoma

NA GEOFFREY ANENE JE, Kaoru Mitoma anaweza kuwafikia Thierry Henry, Neymar na Eden Hazard kimchezo? Ndilo swali ambalo wengi...

Aubameyang nje ya kikosi kitakachotegemewa na Chelsea kwenye mechi zilizosalia katika UEFA msimu huu wa 2022-23

Na MASHIRIKA KOCHA Graham Potter amesema Pierre-Emerick Aubameyang “hajafanya kosa lolote” licha ya kuachwa nje ya kikosi...

Dereva Karan kuanza kutetea taji la mbio za magari kitaifa dhidi ya wapinzani 15 Machakos

Na GEOFFREY ANENE MADEREVA 16 wamethibitisha kushiriki raundi ya kwanza ya Mbio za Magari za Kitaifa nchini Kenya (KNRC) hapo Februari 5...

Beki Raphael Varane wa Man-United astaafu soka ya kimataifa

Na MASHIRIKA BEKI matata wa Manchester United, Rapahel Varane, amestaafu soka ya kimataifa akiwa na umri wa miaka 29. Varane...

Real Madrid wazamisha Valencia na kukaribia tena Barcelona kileleni mwa jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA REAL Madrid walifunga mabao mawili ya haraka mwanzoni mwa kipindi cha pili katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Valencia mnamo...

Chelsea yavunja rekodi kusajili Enzo kwa Sh16.3 bilioni

NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza REKODI ya uhamisho kwenye Ligi Kuu ya Premia (EPL) ilivunjwa dakika ya mwisho baada ya klabu ya...

Gaspo Women kutoana jasho na Kayole Starlets katika KWPL

NA AREGE RUTH GASPO Women wana kibarua cha kutafuta alama tatu ambazo zitawapandisha hadi nafasi ya pili kwenye jedwali, watakapombana na...

Napoli watandika AS Roma na kufungua pengo la alama 13 kileleni mwa jedwali la Serie A

Na MASHIRIKA BAO la dakika za mwisho kutoka kwa Giovanni Simeone liliwezesha Napoli kucharaza AS Roma 2-1 katika Ligi Kuu ya Italia (Serie...

Real Madrid wakabwa koo na Sociedad katika La Liga ugani Bernabeu

Na MASHIRIKA REAL Madrid walipoteza fursa ya kupunguza pengo la alama kati yao na Barcelona kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania...

Clevers Kyalo: Kiungo mahiri mwenye ndoto ya kuchezea Wazito FC na klabu za ughaibuni

NA PATRICK KILAVUKA MALENGO yake ni kucheza kama kocha Mhispania Xavi Hernández, 45, ambaye zamani alisakatia timu ya Barcelona...