NA GEOFFREY ANENE KLABU ya KCB imekuwa ikifanya vyema kwenye mashindano ya raga tangu 2015, ikiwemo kunyakua mataji matano ya Ligi Kuu...
IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO FOWADI Kazu Miura, 55, ndiye mwanasoka mkongwe kabisa duniani anayezidi kutamba uwanjani! Amini usiamini,...
NA GEOFFREY ANENE JE, Kaoru Mitoma anaweza kuwafikia Thierry Henry, Neymar na Eden Hazard kimchezo? Ndilo swali ambalo wengi...
Na MASHIRIKA KOCHA Graham Potter amesema Pierre-Emerick Aubameyang “hajafanya kosa lolote” licha ya kuachwa nje ya kikosi...
Na GEOFFREY ANENE MADEREVA 16 wamethibitisha kushiriki raundi ya kwanza ya Mbio za Magari za Kitaifa nchini Kenya (KNRC) hapo Februari 5...
Na MASHIRIKA BEKI matata wa Manchester United, Rapahel Varane, amestaafu soka ya kimataifa akiwa na umri wa miaka 29. Varane...
Na MASHIRIKA REAL Madrid walifunga mabao mawili ya haraka mwanzoni mwa kipindi cha pili katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Valencia mnamo...
NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza REKODI ya uhamisho kwenye Ligi Kuu ya Premia (EPL) ilivunjwa dakika ya mwisho baada ya klabu ya...
NA AREGE RUTH GASPO Women wana kibarua cha kutafuta alama tatu ambazo zitawapandisha hadi nafasi ya pili kwenye jedwali, watakapombana na...
Na MASHIRIKA BAO la dakika za mwisho kutoka kwa Giovanni Simeone liliwezesha Napoli kucharaza AS Roma 2-1 katika Ligi Kuu ya Italia (Serie...
Na MASHIRIKA REAL Madrid walipoteza fursa ya kupunguza pengo la alama kati yao na Barcelona kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania...
NA PATRICK KILAVUKA MALENGO yake ni kucheza kama kocha Mhispania Xavi Hernández, 45, ambaye zamani alisakatia timu ya Barcelona...