Na MASHIRIKA SAFARI ya Liverpool kutetea ubingwa wa Kombe la FA msimu huu ilifikia mwisho baada ya Brighton kuwadengua katika raundi ya...
Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliweka hai matumaini ya kutwaa Kombe la FA kwa mara ya saba katika historia baada ya kudengua mabingwa mara...
Na MASHIRIKA BAYERN Munich waliendelea kusuasua baada ya Eintracht Frankfurt kuwalazimishia sare ya 1-1 katika Ligi Kuu ya Ujerumani...
Na MASHIRIKA BARCELONA waliendelea kutamba katika Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) msimu huu wa 2022-23 kwa kukung’uta Girona 1-0 ugani...
Na MASHIRIKA CHELSEA wamemsajili beki wa kulia raia wa Ufaransa, Malo Gusto, 19, kutoka Olympique Lyon kwa kima cha Sh4.8 bilioni. Gusto...
Na MASHIRIKA KIUNGO Carlos Casemiro alidhihirisha jinsi alivyo nguzo kubwa kambini mwa Manchester United kwa kufunga mabao mawili katika...
Na MASHIRIKA FOWADI Son Heung-min alipachika wavuni mabao mawili na kusaidia waajiri wake Tottenham Hotspur kuingia raundi ya 16-bora ya...
Na GEOFFREY ANENE KENYA Shujaa watakaba koo na mabingwa mara mbili wa Olimpiki Fiji na mabingwa wa Raga za Dunia 2021-2022 Australia...
Na MASHIRIKA LEICESTER City wamejinasia huduma za fowadi Mateus Tete kutoka Shakhtar Donetsk ya Ukraine hadi Juni 2023. Nyota huyo...
CECIL ODONGO Na ABDULRAHMAN SHERIFF MABINGWA wa zamani AFC Leopards na Gor Mahia wameagana sare tasa katika mechi kali ya Debi ya...
NA AREGE RUTH VIGOGO Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL) Vihiga Queens, wamepata wakati mgumu mikononi mwa mabingwa watetezi Thika Queens...
Na GEOFFREY ANENE WANABENKI wa KCB wamedhamini mashindano ya gofu ya kimataifa ya wanawake ya Magical Kenya Ladies Open kwa Sh5 milioni,...