• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

Brighton wang’oa mabingwa watetezi Liverpool katika raundi ya nne ya Kombe la FA

Na MASHIRIKA SAFARI ya Liverpool kutetea ubingwa wa Kombe la FA msimu huu ilifikia mwisho baada ya Brighton kuwadengua katika raundi ya...

Jinsi Manchester City walivyodengua Arsenal katika kipute cha Kombe la FA

Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliweka hai matumaini ya kutwaa Kombe la FA kwa mara ya saba katika historia baada ya kudengua mabingwa mara...

Bayern Munich wakabwa koo na Eintracht Frankfurt na kuendeleza rekodi duni katika soka ya Bundesliga

Na MASHIRIKA BAYERN Munich waliendelea kusuasua baada ya Eintracht Frankfurt kuwalazimishia sare ya 1-1 katika Ligi Kuu ya Ujerumani...

Barcelona wakomoa Girona na kukaa vizuri kileleni mwa jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA BARCELONA waliendelea kutamba katika Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) msimu huu wa 2022-23 kwa kukung’uta Girona 1-0 ugani...

Chelsea wajinasia huduma za beki Malo Gusto kutoka Olympique Lyon

Na MASHIRIKA CHELSEA wamemsajili beki wa kulia raia wa Ufaransa, Malo Gusto, 19, kutoka Olympique Lyon kwa kima cha Sh4.8 bilioni. Gusto...

Casemiro abeba Manchester United dhidi ya Reading katika Kombe la FA

Na MASHIRIKA KIUNGO Carlos Casemiro alidhihirisha jinsi alivyo nguzo kubwa kambini mwa Manchester United kwa kufunga mabao mawili katika...

Son Heung-min asaidia Tottenham kuingia raundi ya 16-bora ya Kombe la FA

Na MASHIRIKA FOWADI Son Heung-min alipachika wavuni mabao mawili na kusaidia waajiri wake Tottenham Hotspur kuingia raundi ya 16-bora ya...

Shujaa kuvaana na Fiji, Australia na Japan raga ya Los Angeles 7s

Na GEOFFREY ANENE KENYA Shujaa watakaba koo na mabingwa mara mbili wa Olimpiki Fiji na mabingwa wa Raga za Dunia 2021-2022 Australia...

Leicester wasuka upya safu yao ya uvamizi kwa kusajili fowadi Mateus Tete wa Brazil kutoka Lyon

Na MASHIRIKA LEICESTER City wamejinasia huduma za fowadi Mateus Tete kutoka Shakhtar Donetsk ya Ukraine hadi Juni 2023. Nyota huyo...

Mashemeji Derby yaishia sare Nairobi City Stars ikigomea Bandari Mombasa

CECIL ODONGO Na ABDULRAHMAN SHERIFF MABINGWA wa zamani AFC Leopards na Gor Mahia wameagana sare tasa katika mechi kali ya Debi ya...

Vihiga Queens wapigwa na Thika Queens katika KWPL huku Trans Nzoia Falcons wakiadhibu Kayole Starlets

NA AREGE RUTH VIGOGO Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL) Vihiga Queens, wamepata wakati mgumu mikononi mwa mabingwa watetezi Thika Queens...

KCB wamwaga Sh5 milioni kwenye gofu ya wanawake ya Magical Kenya Open

Na GEOFFREY ANENE WANABENKI wa KCB wamedhamini mashindano ya gofu ya kimataifa ya wanawake ya Magical Kenya Ladies Open kwa Sh5 milioni,...