• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Kipkirui na Cheserek watamba Santa Pola Half Marathon Uhispania

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Bernard Kipkirui na Beatrice Cheserek wametawala mbio za Vila de Santa Pola Half Marathon nchini Uhispania,...

Fowadi Youssoufa Moukoko arefusha mkataba wake kambini mwa Borussia Dortmund hadi Juni 2026

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Youssoufa Moukoko amerefusha mkataba wake kambini mwa Borussia Dortmund hadi Juni 30, 2026. Mkataba wa awali wa...

Kocha Frank Lampard katika hatari ya kutimuliwa ugani Goodison Park baada ya West Ham kutandika Everton

Na MASHIRIKA KOCHA Frank Lampard amesema haogopi kabisa kupigwa kalamu ugani Goodison Park licha ya msururu wa matokeo duni yaliyoshuhudia...

Wolves wamsajili beki mzoefu Craig Dawson kutoka West Ham United

Na MASHIRIKA WOLVERHAMPTON Wanderers wamejinasia huduma za beki mzoefu Craig Dawson kutoka West Ham United kwa Sh508 milioni. Difenda...

Shujaa wazidiwa maarifa Hamilton 7s kujiweka pabaya zaidi Raga za Dunia

Na GEOFFREY ANENE KENYA Shujaa hawakuwa na lao katika Kundi A baada ya kuzidiwa maarifa na Samoa, Fiji na Ufaransa kwenye duru ya nne ya...

Kocha Oyoo anoa nyota wa kesho

NA ABDULRAHMAN SHERIFF ALIYUKUWA kocha wa Thika Queens FC Joseph Oyoo ameamua kuanzisha timu ya wasichana wa umri wa miaka 10 hadi 15 kwa...

Nzoia Sugar juu, mashabiki wa Gor wakikemea kocha

Na CECIL ODONGO KOCHA wa Nzoia Sugar Salim Babu amesema kuwa hawatabanduka kileleni mwa msimamo wa jedwali kwa kuwa msimu huu lengo lao ni...

EPL: Wikendi ya kufa kupona

NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza BAADA ya mabingwa watetezi Manchester City kulipua Tottenham Hotspur 4-2 Alhamisi, leo ni zamu ya miamba...

West Ham United wajinasia huduma za Danny Ings kutoka Aston Villa

Na MASHIRIKA WEST Ham United wamemsajili mshambuliaji Danny Ings kutoka Aston Villa kwa Sh2.3 bilioni. West Ham wamelipa kwanza kima cha...

Macho kwa Ruth Chepng’etich watimkaji 400 wakishiriki mbio za nyika za kitaifa

Na GEOFFREY ANENE ZAIDI ya wakimbiaji 400 akiwemo malkia wa marathon Ruth Chepng’etich, wataonyeshana ubabe kwenye mbio za nyika za...

Atletico wamsajili Memphis Depay kutoka Barcelona ili kujaza nafasi ya Joao Felix aliyeyoyomea Chelsea

Na MASHIRIKA ATLETICO Madrid wamemsajili fowadi mzoefu raia wa Uholanzi, Memphis Depay, 28, kwa Sh405 milioni kutoka Barcelona. Depay...

Namwamba apongeza majagina kwa kujitolea kuimarisha vipaji mashinani

NA JOHN ASHIHUNDU WAZIRI wa Michezo, Ababu Namwamba amewapongeza wanasoka wa zamani waliojitokeza kuimarisha vipaji vya vijana wanaonuia...