• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 6:39 PM

Violet Nanjala aingia 2023 akiogopwa zaidi na makipa nchini Morocco

NA AREGE RUTH NYOTA wa Harambee Starlets Violet Nanjala, alifunga mwaka 2022 akiwa kileleni mwa jedwali la wafungaji bora ambapo alikuwa...

Man-City wapoteza alama muhimu baada ya Everton kuwalazimishia sare ya 1-1 katika EPL ugani Etihad

Na MASHIRIKA BEKI John Stones wa Manchester City amesema alama moja iliyookotwa na waajiri wake dhidi ya Everton baada ya sare ya 1-1...

TUSIJE TUKASAHAU: Ni muhimu walimu wakuu watafute idhini ya wizara kabla mabasi kutumika kwa shughuli za kijamii

WATU wawili walifariki jana katika ajali iliyohusisha Basi la Shule ya Upili ya Wasichana la Moi Suba katika soko la Ekerenyo, kaunti ya...

Jagina Pele, aliyewahi kuzuru Kenya, atazikwa Jumanne

NA MASHIRIKA RIO DE JANEIRO, BRAZIL JAGINA wa soka duniani, Pele, atazikwa siku ya Jumanne jijini Sao Paulo baada ya maombolezo ya...

Huyu ‘Iniesta’ wa Nzoia ni hatari kwa pasi za maangamizi

NA CECIL ODONGO NZOIA Sugar ni kati ya timu ambazo zimeshangaza wengi msimu huu kutokana na jinsi ambavyo inafanya vyema katika Ligi Kuu...

NYOTA WA WIKI: Miguel Almiron

NA GEOFFREY ANENE MIGUEL Almiron amejitokeza kwa nguvu kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu wa 2022-2023 akichezea Newcastle...

Wanabunduki kwenye mizani ya Brighton leo Jumamosi

NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza ARSENAL watakabiliwa na mtihani mkali katika kampeni yao ya kusalia juu ya Ligi Kuu ya Uingereza...

Chris Oguso Cup yaleta burudani Vihiga

NA RUTH AREGE KWA miaka 11 sasa, michuano ya Chris Oguso imekuwa ikinogesha sherehe za krismasi na mwaka mpya kupitia soka katika kaunti...

TANZIA: Vigogo wa soka watuma salamu za pole kufuatia kifo cha Pele

NA MASHIRIKA MWANASOKA raia wa Brazil aliyejizolea sifa tele kwa weledi wake, Edson Arantes do Nascimento almaarufu Pele, amefariki...

Haaland aweka rekodi mpya ya ufungaji mabao EPL

Na MASHIRIKA ERLING Haaland aliweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kuwahi kufunga mabao 20 katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) haraka...

Mbappe aongoza PSG kupepeta Strasbourg na kufungua pengo la alama nane kileleni mwa jedwali la Ligue 1

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe aliongoza Paris Saint-Germain (PSG) kusajili ushindi wa 2-1 dhidi ya Strasbourg katika Ligi Kuu ya Ufaransa...

Arsenal wachapa West Ham na kupepea zaidi kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA KOCHA Mikel Arteta amesema mkufunzi wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger, “aliteua wakati mwafaka zaidi” wa kurejea ugani...