NA AREGE RUTH NYOTA wa Harambee Starlets Violet Nanjala, alifunga mwaka 2022 akiwa kileleni mwa jedwali la wafungaji bora ambapo alikuwa...
Na MASHIRIKA BEKI John Stones wa Manchester City amesema alama moja iliyookotwa na waajiri wake dhidi ya Everton baada ya sare ya 1-1...
WATU wawili walifariki jana katika ajali iliyohusisha Basi la Shule ya Upili ya Wasichana la Moi Suba katika soko la Ekerenyo, kaunti ya...
NA MASHIRIKA RIO DE JANEIRO, BRAZIL JAGINA wa soka duniani, Pele, atazikwa siku ya Jumanne jijini Sao Paulo baada ya maombolezo ya...
NA CECIL ODONGO NZOIA Sugar ni kati ya timu ambazo zimeshangaza wengi msimu huu kutokana na jinsi ambavyo inafanya vyema katika Ligi Kuu...
NA GEOFFREY ANENE MIGUEL Almiron amejitokeza kwa nguvu kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu wa 2022-2023 akichezea Newcastle...
NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza ARSENAL watakabiliwa na mtihani mkali katika kampeni yao ya kusalia juu ya Ligi Kuu ya Uingereza...
NA RUTH AREGE KWA miaka 11 sasa, michuano ya Chris Oguso imekuwa ikinogesha sherehe za krismasi na mwaka mpya kupitia soka katika kaunti...
NA MASHIRIKA MWANASOKA raia wa Brazil aliyejizolea sifa tele kwa weledi wake, Edson Arantes do Nascimento almaarufu Pele, amefariki...
Na MASHIRIKA ERLING Haaland aliweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kuwahi kufunga mabao 20 katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) haraka...
Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe aliongoza Paris Saint-Germain (PSG) kusajili ushindi wa 2-1 dhidi ya Strasbourg katika Ligi Kuu ya Ufaransa...
Na MASHIRIKA KOCHA Mikel Arteta amesema mkufunzi wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger, “aliteua wakati mwafaka zaidi” wa kurejea ugani...