NA MASHIRIKA ZAMBIA wamemteua kocha wa zamani wa Chelsea, West Ham United na Ghana, Avram Grant, kudhibiti mikoba ya timu yao ya taifa...
Na MASHIRIKA CLAUDIO Ranieri ameaajiriwa tena kuwa kocha wa Cagliari, zaidi ya miaka 30 tangu apokezwe mikoba ya kudhibiti kikosi hicho...
NA AREGE RUTH NAHODHA wa Harambee Starlets Dorcus Shikobe Nixon na kiungo mshambuliaji wa Starlets Omondi Ivy Faith, wamejiunga na klabu...
NA MASHIRIKA PARIS, Ufaransa MSHAMBULIAJI matata Karim Benzema amestaafu kucheza soka ya kimataifa baada ya hapo awali kujiondoa...
NA JOHN ASHIHUNDU MARA tu walipopewa fursa ya kuandaa Kombe la Dunia mnamo 2010, taifa la Qatar liliweka utaratibu wa kuhakikisha kila...
NA JOHN ASHIHUNDU KWA muda wa mwezi mmoja, mashabiki wa soka kote duniani walitosheka na burudani ya michuano ya Kombe la Dunia...
NA JOHN ASHIHUNDU BAADA ya kuwakilisha Argentina kwenye fainali za Kombe la Dunia bila mfanikio, hatimaye ndoto ya Lionel Messi imetimia...
Na MASHIRIKA LIONEL Messi amesema hatastaafu soka ya kimataifa baada ya kuongoza Argentina kutawazwa mabingwa wa Kombe la Dunia kwa mara...
NA JOHN ASHIHUNDU AFISA Mkuu wa Shirikisho la Kitaifa la Soka (FKF), Barry Otieno amethibitisha kwamba Engin Firat ataendelea kuwa...
Na MASHIRIKA KOCHA Zlatko Dalic amesema kubwa zaidi katika mipango yake kwa sasa ni kuongoza Croatia kunyanyua ubingwa wa kipute cha Uefa...
Na MASHIRIKA NAHODHA Luka Modric ana mipango ya kuendelea kusakata soka ya kimataifa hadi mwishoni mwa fainali za Uefa Nations League...
Na FRED KIBOR SAMUEL Naibei na Caroline Jepchirchir wameibuka washindi wa makala ya kwanza ya mbio za Iten Marathon zilizofanyika kwenye...