• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Argentina yaizidi maarifa Ufaransa kupitia penalti

CHRIS ADUNGO Na GEOFFREY ANENE ARGENTINA ndio wafalme wapya wa soka duniani baada ya kufunga Ufaransa penalti 4-2 kufuatia sare ya 3-3...

KPA waridhika nambari sita Afrika mpira wa vikapu

Na GEOFFREY ANENE MALKIA wa mpira wa vikapu nchini Halmashauri ya Bandari za Kenya (KPA) wamekamilisha mashindano ya klabu za Afrika...

Quins na Monks waonja ushindi wa kwanza Ligi Kuu ya raga Kenya Cup ikienda likizo ya Krismasi

Na GEOFFREY ANENE KENYA Harlequin na Monks ya Chuo Kikuu cha Kikatoliki wameandikisha ushindi wao wa kwanza kwenye Ligi Kuu ya raga...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Mbivu na mbichi kuhusu nani mkali kati ya Messi na Mbappe kujulikana ugani Lusail Iconic

Na MASHIRIKA MBIVU na mbichi kuhusu nani mkali kati ya kigogo Lionel Messi wa Argentina na nyota Kylian Mbappe wa Ufaransa itajulikana...

Infantino na FIFA waridhika kwamba michuano ya Kombe la Dunia imetia fora nchini Qatar

NA JOHN ASHIHUNDU RAIS wa Shirikisho la Kimataifa la Soka (Fifa) Gianni Infantino amesema fainali za Kombe la Dunia za Qatar 2022 ndizo...

AK yaongeza Team Kenya ya mbio za nyika kutoka wanariadha 32 hadi 40

NA AYUMBA AYODI SHIRIKISHO la Riadha Kenya (AK) limeongeza wanariadha wanane katika kikosi chake cha taifa kitakachoshiriki Mbio za Nyika...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Ufaransa wacharaza Morocco 2-0 na kujikatia tiketi ya kumenyana na Argentina kwenye fainali

Na MASHIRIKA UFARANSA watavaana sasa na Argentina kwenye fainali ya Kombe la Dunia mwaka huu wa 2022 nchini Qatar baada ya kupokeza...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Fainali ya Disemba 18, 2022 kuwa ya mwisho kwa Lionel Messi katika historia ya Kombe la Dunia

Na MASHIRIKA NAHODHA wa Argentina, Lionel Messi amesema fainali ya Disemba 18, 2022 itakuwa yake ya mwisho kusakata katika kipute cha...

Shabana yawika baada ya ushindi

NA JOHN ASHIHUNDU SHABANA FC imeendeleza ubabe wake baada ya kuibwaga Mombasa Elite 1-0 katika pambano la Supa Ligi (NSL) lililochezewa...

Esse Akida atuzwa kiatu cha dhahabu kwa kuibuka mfungaji bora nchini Uturuki

NA AREGE RUTH MSHAMBULIAJI wa Harambee Starlets Esse Akida, ndiye mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Wanawake nchini Uturuki msimu wa 2021/22...

Atlas Lions ina nafasi kubwa ya kutinga fainali

NA MASHIRIKA DOHA, Qatar KABLA ya fainali hizi kuanza nchini hapa, hakuna aliyeipa Atlas Lions nafasi ya kufikia umbali huu wa...

Je, Ufaransa itapenya ngome ya Morocco?

NA JOHN ASHIHUNDU MECHI ya nusu-fainali baina ya mabingwa wa Kombe la Dunia Ufaransa na Morocco inazidi kuvutia hisia kabla ya kung'oa...