• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 1:20 PM

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Argentina sasa kuvaana na Croatia katika nusu-fainali baada ya kung’oa Uholanzi kwa penalti 4-3

Na MASHIRIKA NDOTO ya Lionel Messi kushindia Argentina Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza tangu 1986 ilisalia hai baada ya kuchochea miamba...

Mbunge amshambulia Winnie Odinga

NA GEORGE MUNENE MBUNGE wa Afika Mashariki (EALA), Bi Winnie Odinga, jana Jumatano alishambuliwa vikali kwa kukosa kuhudhuria mkutano...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Jinsi Morocco walivyotoa miamba Uhispania pumzi

Na MASHIRIKA ACHRAF Hakimi alifungia Morocco penalti ya ushindi na kusaidia mabingwa hao wa Afrika 1976 kudengua Uhispania kwa mikwaju 3-0...

Bazara la Mawaziri launga azma ya Kenya kuandaa AFCON 2027

NA JOHN ASHIHUNDU BARAZA la Mawaziri limeidhinisha pendekezo la Kenya pamoja na mataifa mengine jirani kuandaa fainali za Kombe la...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Kocha Paulo Bento ajiuzulu baada ya kikosi chake cha Korea Kusini kudenguliwa katika raundi ya 16-bora

Na MASHIRIKA KOCHA wa Korea Kusini, Paulo Bento, alijiuzulu baada ya kikosi chake kudenguliwa katika hatua ya 16-bora kwenye fainali za...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Brazil kuvaana na Croatia kwenye robo-fainali

Na MASHIRIKA BRAZIL walituma onyo kali kwa washiriki wengine wa Kombe la Dunia nchini Qatar mwaka huu kwa kutandika Korea Kusini 4-1...

Klabu ya Al-Nassr nchini Saudi Arabia yaweka mezani Sh25.8 bilioni kwa ajili ya maarifa ya Cristiano Ronaldo

Na MASHIRIKA KLABU ya Al-Nassr iliyoko Saudi Arabia imeweka mezani ofa nono ili kujitwalia huduma za nyota Cristiano Ronaldo baada ya...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Croatia kwenye mizani ya wauaji Japan wanaolenga 8-bora kwa mara ya kwanza katika historia

Na MASHIRIKA JAPAN watapania kuendeleza ubabe wa kuzamisha miamba wa dunia kwa mara nyingine watakapokutana na wanafainali wa 2018,...

Kiptum azoa Sh13m baada ya kushinda Valencia Marathon

NA GEOFFREY ANENE MKENYA Kelvin Kiptum alitangaza ujio wake katika mbio za kilomita 42 kwa kishindo kikuu baada ya kutawala kivumbi cha...

Brazil wala njama ya kufinya Korea Kusini

NA MASHIRIKA BRAZIL watashuka leo Jumatatu uwanjani 974 nchini Qatar kwa kibarua kizito cha kudengua Korea Kusini katika raundi ya...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Giroud avunja rekodi ya Thierry Henry na kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Ufaransa

Na MASHIRIKA OLIVIER Giroud aliweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote katika kikosi cha Ufaransa baada ya kufunga bao katika...

Kiungo Wyvonne Isuza astaafu soka

NA AREGE RUTH KIUNGO mstaafu wa Harambee Stars Wyvonne Isuza anasema ataishi kukumbuka enzi zake akicheza soka. Alisema hayo baada ya...