Na MASHIRIKA NDOTO ya Lionel Messi kushindia Argentina Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza tangu 1986 ilisalia hai baada ya kuchochea miamba...
NA GEORGE MUNENE MBUNGE wa Afika Mashariki (EALA), Bi Winnie Odinga, jana Jumatano alishambuliwa vikali kwa kukosa kuhudhuria mkutano...
Na MASHIRIKA ACHRAF Hakimi alifungia Morocco penalti ya ushindi na kusaidia mabingwa hao wa Afrika 1976 kudengua Uhispania kwa mikwaju 3-0...
NA JOHN ASHIHUNDU BARAZA la Mawaziri limeidhinisha pendekezo la Kenya pamoja na mataifa mengine jirani kuandaa fainali za Kombe la...
Na MASHIRIKA KOCHA wa Korea Kusini, Paulo Bento, alijiuzulu baada ya kikosi chake kudenguliwa katika hatua ya 16-bora kwenye fainali za...
Na MASHIRIKA BRAZIL walituma onyo kali kwa washiriki wengine wa Kombe la Dunia nchini Qatar mwaka huu kwa kutandika Korea Kusini 4-1...
Na MASHIRIKA KLABU ya Al-Nassr iliyoko Saudi Arabia imeweka mezani ofa nono ili kujitwalia huduma za nyota Cristiano Ronaldo baada ya...
Na MASHIRIKA JAPAN watapania kuendeleza ubabe wa kuzamisha miamba wa dunia kwa mara nyingine watakapokutana na wanafainali wa 2018,...
NA GEOFFREY ANENE MKENYA Kelvin Kiptum alitangaza ujio wake katika mbio za kilomita 42 kwa kishindo kikuu baada ya kutawala kivumbi cha...
NA MASHIRIKA BRAZIL watashuka leo Jumatatu uwanjani 974 nchini Qatar kwa kibarua kizito cha kudengua Korea Kusini katika raundi ya...
Na MASHIRIKA OLIVIER Giroud aliweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote katika kikosi cha Ufaransa baada ya kufunga bao katika...
NA AREGE RUTH KIUNGO mstaafu wa Harambee Stars Wyvonne Isuza anasema ataishi kukumbuka enzi zake akicheza soka. Alisema hayo baada ya...