• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 1:20 PM

Kocha Southgate aogopa kikosi cha Senegal

NA JOHN ASHIHUNDU MECHI mbili za kuwania nafasi ya kufuzu kwa robo-fainali zinapigwa kesho Jumapili, lakini inayozungumziwa zaidi duniani...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Korea Kusini sasa kutoana jasho na Brazil katika hatua ya 16-bora baada ya kulaza Ureno katika Kundi H

Na MASHIRIKA HWANG Hee-chan alifungia Korea Kusini bao la dakika za mwisho katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Ureno na hivyo kuwapiga kumbo...

Firat akaribia kurejea kushika usukani Kenya

NA JOHN ASHIHUNDU KOCHA Engin Firat anatarajiwa kurejea usukani kama kocha mkuu wa Harambee Stars, hii ikiwa mara ya pili kwa raia huyo...

Waziri Namwamba atoa onyo kali baada ya Kenya kuondolewa marufuku

NA JOHN ASHIHUNDU WAZIRI wa Michezo, Ababu Namwamba ameonya kwamba kuondolewa kwa marufuku na Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA)...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Cameroon wafunganya virago Qatar licha ya kushinda Brazil katika pambano la mwisho la Kundi G

Na MASHIRIKA INGAWA Cameroon walikomoa Brazil 1-0 ugani Lusail Iconic katika pambano la mwisho la Kundi G kwenye fainali za Kombe la Dunia...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Uruguay waaga mashindano licha ya kukung’uta Ghana 2-0 katika Kundi H

Na MASHIRIKA JAPO Uruguay walitandika Ghana 2-0 katika pambano lao la mwisho la Kundi H kwenye fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Australia kuvaana na Argentina katika hatua ya 16-bora baada ya kucharaza Denmark kwa 1-0 katika Kundi D

Na MASHIRIKA AUSTRALIA walifuzu kwa hatua ya 16-bora ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 16 baada ya kuduwaza...

Kirui kivutio Fukuoka Marathon Japan, aendea taji la Githae

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa dunia mbio za kilomita 42 mwaka 2009 na 2011 Amos Kirui atakuwa kivutio kwenye makala ya 76 ya Fukuoka...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Argentina watinga hatua ya 16-bora

Na MASHIRIKA ARGENTINA walifuzu kwa raundi ya 16-bora ya Kombe la Dunia mwaka huu baada ya kutandika Poland 2-0 katika mchuano wao wa...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Tunisia wakosa kuingia 16-bora licha ya kuangusha miamba Ufaransa katika Kundi D

Na MASHIRIKA UFARANSA walishuhudia bao lao la kusawazisha dhidi ya Tunisia likifutiliwa mbali na teknolojia ya VAR mwishoni mwa kipindi...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Uingereza sasa kuvaana na Senegal katika raundi ya 16-bora baada ya kuzamisha Wales

Na MASHIRIKA MARCUS Rashford alifunga mabao mawili na kusaidia Uingereza kukamilisha kampeni zao za makundi kwenye Kombe la Dunia...

Tunisia ina kibarua kulaza Ufaransa leo Jumatano

NA MASHIRIKA AL RAYYAN CITY, Qatar UFARANSA tayari wamefuzu kwa hatua ya 16-Bora, lakini leo Jumatano watakutana na Tunisia ambao...