NA JOHN ASHIHUNDU MECHI mbili za kuwania nafasi ya kufuzu kwa robo-fainali zinapigwa kesho Jumapili, lakini inayozungumziwa zaidi duniani...
Na MASHIRIKA HWANG Hee-chan alifungia Korea Kusini bao la dakika za mwisho katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Ureno na hivyo kuwapiga kumbo...
NA JOHN ASHIHUNDU KOCHA Engin Firat anatarajiwa kurejea usukani kama kocha mkuu wa Harambee Stars, hii ikiwa mara ya pili kwa raia huyo...
NA JOHN ASHIHUNDU WAZIRI wa Michezo, Ababu Namwamba ameonya kwamba kuondolewa kwa marufuku na Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA)...
Na MASHIRIKA INGAWA Cameroon walikomoa Brazil 1-0 ugani Lusail Iconic katika pambano la mwisho la Kundi G kwenye fainali za Kombe la Dunia...
Na MASHIRIKA JAPO Uruguay walitandika Ghana 2-0 katika pambano lao la mwisho la Kundi H kwenye fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea...
Na MASHIRIKA AUSTRALIA walifuzu kwa hatua ya 16-bora ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 16 baada ya kuduwaza...
Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa dunia mbio za kilomita 42 mwaka 2009 na 2011 Amos Kirui atakuwa kivutio kwenye makala ya 76 ya Fukuoka...
Na MASHIRIKA ARGENTINA walifuzu kwa raundi ya 16-bora ya Kombe la Dunia mwaka huu baada ya kutandika Poland 2-0 katika mchuano wao wa...
Na MASHIRIKA UFARANSA walishuhudia bao lao la kusawazisha dhidi ya Tunisia likifutiliwa mbali na teknolojia ya VAR mwishoni mwa kipindi...
Na MASHIRIKA MARCUS Rashford alifunga mabao mawili na kusaidia Uingereza kukamilisha kampeni zao za makundi kwenye Kombe la Dunia...
NA MASHIRIKA AL RAYYAN CITY, Qatar UFARANSA tayari wamefuzu kwa hatua ya 16-Bora, lakini leo Jumatano watakutana na Tunisia ambao...