• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 8:50 AM

Shujaa yatiwa kundi la kifo Dubai Sevens

Na GEOFFREY ANENE KENYA Shujaa imetiwa katika kundi ngumu la Raga za Dunia duru ya Dubai Sevens ambalo liko na miamba Australia, Afrika...

Arsenal wazamisha Chelsea ugani Stamford Bridge na kurejea kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA ARSENAL walirejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya beki Gabriel Magalhaes kuwafungia bao la pekee...

McGrath aomba msamaha Shujaa kusikitisha Hong Kong 7s, alia hajalipwa mshahara miezi miwili

Na AYUMBA AYODI KOCHA wa Kenya Shujaa, Damian McGrath ameomba msamaha kwa mchezo duni kutoka kwa vijana wake kwenye Raga za Dunia duru ya...

Korir, Ngige kuongoza Wakenya Valencia Marathon

Na GEOFFREY ANENE WATIMKAJI Jonathan Korir na Monica Ngige wanaongoza orodha ya Wakenya waliothibitishwa Novemba 3 kuwa watawania ubingwa...

Wanaskwashi wa Kenya wa kwanza kutua Zimbabwe kwa mashindano ya Afrika

NA GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya skwashi ya Kenya imejaa motisha kabla ya mashindano ya Afrika ya watu wazima mjini Bulawayo, Zimbabwe...

Liverpool wamaliza kampeni za Kundi A kwenye UEFA katika nafasi ya pili licha ya kukomoa Napoli ugani Anfield

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walikomesha rekodi nzuri ya Napoli katika Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwa kuwapepeta 2-0 katika mchuano wa mwisho wa...

Klabu 18 kukutana na waziri Namwamba

NA JOHN ASHIHUNDU WAZIRI wa Michezo, Ababu Namwamba kesho Alhamisi atakutana na viongozi wa klabu 18 za Ligi Kuu ya Kandanda Nchini...

Jeraha la goti kumnyima Paul Pogba fursa ya kuongoza Ufaransa kutetea ubingwa wa Kombe la Dunia nchini Qatar

Na MASHIRIKA KIUNGO matata wa Juventus, Paul Pogba, atakosa kuongoza timu ya taifa ya Ufaransa kutetea Kombe la Dunia nchini Qatar mwaka...

Vihiga Boys ni wafalme wa raga ya Prescott Cup

NA GEOFFREY ANENE SHULE ya Upili ya Wavulana ya Vihiga ilijiongezea taji la Kombe la Prescott kwenye kabati lake baada ya kupepeta Kisii...

Real Madrid watoka sare na Girona ligini huku Toni Kroos akila kadi nyekundu kwa mara ya kwanza katika taaluma yake ya usogora

Na MASHIRIKA TONI Kroos alionyeshwa kadi nyekundu kwa mara ya kwanza katika taaluma yake ya usogora katika mchuano wa Ligi Kuu ya...

Okutoyi azamia mazoezi kupunguza makosa kabla ya W15 Nairobi

NA GEOFFREY ANENE MWANATENISI Angella Okutoyi ameimarisha mazoezi akitumai kupunguza makosa atakapowania taji la mashindano ya wanawake ya...

Leeds United wacharaza Liverpool uwanjani Anfield na kuendeleza masaibu ya kocha Jurgen Klopp katika EPL msimu huu

Na MASHIRIKA MKUFUNZI Jurgen Klopp ametaka waajiri wake Liverpool kuzinduka na kuacha kusuasua iwapo wana ndoto ya kukamilisha kampeni...