• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 10:50 AM

Brighton wapepeta Chelsea katika kipute cha EPL ugani Amex

Na MASHIRIKA KOCHA wa Chelsea, Graham Potter, amesema “hana chochote cha kusikitikia” baada ya mashabiki wa Brighton kumpokea kwa...

Messi, Neymar na Mbappe watambisha PSG dhidi ya Troyes katika mechi ya Ligue 1

Na MASHIRIKA LIONEL Messi, Kylian Mbappe na Neymar walifunga bao kila mmoja na kusaidia waajiri wao Paris Saint-Germain (PSG) kutandika...

Longosiwa, Jebitok watawala mbio za nyika Kapsokwony

Na BERNARD ROTICH WATIMKAJI Reuben Longosiwa na Edna Jebitok waliibuka washindi wa duru ya pili ya mbio za nyika za Shirikisho la Riadha...

Victor Osimhen asaidia Napoli kuponda Sassuolo na kufungua pengo la alama sita kileleni mwa jedwali la Serie A

Na MASHIRIKA VICTOR Osimhen alifunga mabao matatu katika mechi moja (hat-trick) kwa mara ya kwanza katika Ligi Kuu ya Italia (Serie A) na...

Man-City wakomoa Leicester ugani King Power na kutua kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA MANCHESTER City walitua kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mnamo Jumamosi baada ya kucharaza Leicester City...

Omanyala, Kipchoge wasuka dili ya kukuza talanta

Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa rekodi ya Afrika mbio za mita 100 Ferdinand Omanyala na mshikilizi wa rekodi ya dunia ya kilomita 42...

Kakamega Homeboyz yamwajiri kocha John Baraza

NA JOHN ASHIHUNDU KLABU ya Kakamega Homeboyz imemteua John Baraza kama kocha wake mkuu kujaza nafasi ya Benard Mwalala aliyetimuliwa mara...

Kaptich, Kosgey wavizia mataji ya Frankfurt Marathon

NA GEOFFREY ANENE WAKENYA Selly Kaptich na Martin ‘Mr Frankfurt’ Kosgey wanapigiwa upatu kuvuma kwenye makala ya 39 ya Mainova...

Barcelona washuka hadi ligi ndogo ya Europa League baada ya kuaga UEFA katika hatua ya makundi

Na MASHIRIKA BAYERN Munich waliendeleza ubabe wao dhidi ya Barcelona kwa kuwapokeza kichapo cha 3-0 katika mkondo wa pili wa mchuano wa...

Man-City na Borussia Dortmund waingia 16-bora UEFA licha ya kuambulia sare tasa nchini Ujerumani

Na MASHIRIKA KOCHA Pep Guardiola amekiri kuwa kikosi chake cha Manchester City kina tatizo kubwa la kuchanja mikwaju ya penalti licha ya...

Chelsea wapepeta RB Salzburg ya Austria na kufuzu kwa hatua ya 16-bora ya UEFA

Na MASHIRIKA GRAHAM Potter alikuwa mwingi wa sifa kwa kikosi cha Chelsea kilichoweka kando maruerue ya kupoteza mechi ya kwanza ya hatua...

Spurs sasa yahitaji miujiza dhidi ya Marseille ugenini baada ya Sporting kuwalazimishia sare jijini London

NA MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur watahitaji angalau sare ya aina yoyote dhidi ya Olympique Marseille katika mchuano wao wa mwisho wa Kundi...