• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 7:50 AM

Messi na Mbappe waongoza PSG kusagasaga Maccabi Haifa katika pambano la UEFA jijini Paris

Na MASHIRIKA LIONEL Messi na Kylian Mbappe walifunga mabao mawili kila mmoja na kusaidia Paris Saint-Germain (PSG) kuponda Maccabi Haifa...

Wakenya wawili waondolewa kikosini baada ya kukosa vyeti vya FIFA

NA JOHN ASHIHUNDU WACHEZAJI matata wa Harambee Starlets, Jentrix Shikangwa na Ruth Ingosi wameondolewa kwenye kikosi cha Simba...

Wanaraga wa Kenya Lionesses tayari kuingia mawindoni Kombe la Afrika baada ya kikosi kutajwa

Na GEOFFREY ANENE KOCHA Dennis Mwanja amejumuisha wachezaji wanne wapya katika kikosi cha Kenya Lionesses kitakachoelekea Uganda hapo...

RB Leipzig wapokeza Real Madrid kichapo cha kwanza msimu huu kwa kuwakung’uta 3-2 katika UEFA

Na MASHIRIKA  MABINGWA watetezi wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), Real Madrid, walipoteza mechi yao ya kwanza msimu huu baada ya kupepetwa...

Barcelona pabaya ikialika Bayern UEFA

NA MASHIRIKA BARCELONA, Uhispania Barcelona wana matumaini ya kufuzu kwa raundi ya maondoano ya 16-Bora ya Michuano ya Klabu Bingwa Ulaya...

Kipchoge atuzwa kuwa mwanaspoti bora wa Septemba

BERNARD ROTICH Na GEOFFREY ANENE SUPASTAA Eliud Kipchoge jana Jumanne aliibuka mshindi wa tuzo ya mwanamichezo bora ya LG/SJAK wa mwezi wa...

Mkenya Tikolo aajiriwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya kriketi ya Nigeria

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Steve Tikolo ameajiriwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya kriketi ya Nigeria kujaza nafasi ya raia wa Sri...

Southampton wapiga Arsenal breki kali katika gozi la EPL ugani St Mary’s

Na MASHIRIKA ARSENAL walipoteza alama muhimu katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa mara ya pili msimu huu baada ya Southampton...

Washikadau wa soka waunga Namwamba kuongea na FIFA

NA CECIL ODONGO WASHIKADAU wa soka nchini wamekaribisha uamuzi wa Waziri Mteule wa Michezo Ababu Namwamba kuzungumza na Shirikisho la...

Erling afunga mabao mawili na kusaidia Man-City kupepeta Brighton katika EPL ugani Etihad

Na MASHIRIKA ERLING Haaland alifunga mabao mawili katika ushindi wa 3-1 uliosajiliwa na waajiri wake Manchester City dhidi ya Brighton...

Kipa Merceline Seda ajiunga na Fountain Gates Academy ya TZ

NA RUTH AREGE KIPA wa zamani wa Kibera Soccer Girls FC Merceline Seda, amejiunga na timu ya Fountain Gates Academy ya ligi kuu ya Wanawake...

Man-United na Chelsea watoshana nguvu kwa sare ya 1-1 katika gozi kali la EPL ugani Stamford Bridge

Na MASHIRIKA CARLOS Casemiro alifunga bao la dakika ya mwisho katika sare ya 1-1 iliyosajiliwa na waajiri wake Manchester United dhidi ya...