Na MASHIRIKA LIONEL Messi na Kylian Mbappe walifunga mabao mawili kila mmoja na kusaidia Paris Saint-Germain (PSG) kuponda Maccabi Haifa...
NA JOHN ASHIHUNDU WACHEZAJI matata wa Harambee Starlets, Jentrix Shikangwa na Ruth Ingosi wameondolewa kwenye kikosi cha Simba...
Na GEOFFREY ANENE KOCHA Dennis Mwanja amejumuisha wachezaji wanne wapya katika kikosi cha Kenya Lionesses kitakachoelekea Uganda hapo...
Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), Real Madrid, walipoteza mechi yao ya kwanza msimu huu baada ya kupepetwa...
NA MASHIRIKA BARCELONA, Uhispania Barcelona wana matumaini ya kufuzu kwa raundi ya maondoano ya 16-Bora ya Michuano ya Klabu Bingwa Ulaya...
BERNARD ROTICH Na GEOFFREY ANENE SUPASTAA Eliud Kipchoge jana Jumanne aliibuka mshindi wa tuzo ya mwanamichezo bora ya LG/SJAK wa mwezi wa...
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Steve Tikolo ameajiriwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya kriketi ya Nigeria kujaza nafasi ya raia wa Sri...
Na MASHIRIKA ARSENAL walipoteza alama muhimu katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa mara ya pili msimu huu baada ya Southampton...
NA CECIL ODONGO WASHIKADAU wa soka nchini wamekaribisha uamuzi wa Waziri Mteule wa Michezo Ababu Namwamba kuzungumza na Shirikisho la...
Na MASHIRIKA ERLING Haaland alifunga mabao mawili katika ushindi wa 3-1 uliosajiliwa na waajiri wake Manchester City dhidi ya Brighton...
NA RUTH AREGE KIPA wa zamani wa Kibera Soccer Girls FC Merceline Seda, amejiunga na timu ya Fountain Gates Academy ya ligi kuu ya Wanawake...
Na MASHIRIKA CARLOS Casemiro alifunga bao la dakika ya mwisho katika sare ya 1-1 iliyosajiliwa na waajiri wake Manchester United dhidi ya...